

Msichana akiwa hakutaki hupenda kukukomesha kwa kukuomba hela hovyo ili ujikatae mwenyewe!Mkuu anapo ishi sio mbali sana, ila imenishangaza mnoo mtu anakosa uaminifu kwa pesa ndogo hivo.
manengelo njoo utoe neno hapa
kafanikiwa sana akipata watu 20 mmemtumia hiyo?Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.
Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.
Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..
Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.
Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?
Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k
Cc Zero IQ
Inabidi tupimwe mikojo kwa kweli, unakuta mama mzazi hata vocha unamwambia sina hela mama dahAmani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.
Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.
Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..
Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.
Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?
Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k
Cc Zero IQ
Kwangu kama dem anahitaji pesa yangu anaichukulia guest.Amani iwe kwenu wakuu, imenishangaza kidogo na kunifikirisha mnoo.
Nmefahamiana na bi Dada mmoja yapata wiki sasa. Leo nimemuomba nimuone mida ya sa 12 jioni . Akaniambia hajala,hivo nimfanyie mchakato wa kula.
Nikaona sio shida, nkamtumia 20k Ili apate kula kama alivyo dai..
Cha kushangaza ghafla hapokei tena simu, hajibu SMS na ananikatia simu.
Imenishangaza na kunichekesha mno,, yaan pesa ndogo kiasi hicho ndo imemfanya anifanyie hayo?
Maana angalau ingekuwa ni pesa inayo range kuanzia 200k..ningemuona kafanikiwa angalau.. Lakini sio 20k
Cc Zero IQ
Inabidi tupimwe mikojo kwa kweli, unakuta mama mzazi hata vocha unamwambia sina hela mama dah
hapo sawa takupa sio nje ya hapo



