Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
we kloro sijakosea. Kuna maswali mengine hayajibiki bana. Lol.
Shemeji mi siji huko mme wangu hapendi.
Lkn si ni wewe ndo umeweka option ya kutojibu??
we kloro sijakosea. Kuna maswali mengine hayajibiki bana. Lol.
Shemeji mi siji huko mme wangu hapendi.
My fav drink ....juice ya pineaple and passion fruits .
I'm always sober so I would have to say without....but then since I have never been intoxicated I can't know for shur.
Ohhh and a question for you Boss....udhaifu wako ni nini? Haijalishi kwenye nyanja gani...chagua tu mmoja!
ooh! Mi saizi ya kati. Haya lizzy na wewe una miaka mingapi?
udhaifu wangu....mhhhh.....swali la mtego hili????....lol
Hehehehe.....Hus ndio tabia gani hii ya kutaka namba za miaka???
Owwwkey chukua 3+2+1 x 3 +( 6 x 8 ) - 46
Hamna mtego bana we jibu....wachumba unaowakuziga wote wako busy saa hizi hawataona!
Hamna mtego bana we jibu....wachumba unaowakuziga wote wako busy saa hizi hawataona!
Khaaaa da husni c ndio ucku sasa kile kikao chechu cha wanawake venue wapi jaman nishavaa na niko juu ya bodaboda nasubiri jibu dahusni!
Mhhh interesting...nimejaribu kufikiria maswali naona hayaji.
umeona eeh!Yeahh angesema kila aulizwae lazima ajibu....
Nauliza Hus... Umeolewa, una mtoto hata km hauishi na baba yake poa tu, una kazi au biashara ooppss nitarudi
Lizy huyo Hus umemuweza hajui hesabu kabisa haha ha ha ha
chit chat oyeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Watu tunajifunza na kuvutiwa na mengi kutoka kwa members wa jf. inawezekana kuna wawili watatu ungetamani kuwauliza (ma)swali fulani la binafsi ila kwa namna moja au nyingine unashindwa. thread hii ni maalum kwa hilo. kwa mfano ukipewa nafasi ya kumuuliza member yoyote wa jf, ungemchagua member(s) wapi na ungewauliza maswali yapi?.
NB: Haimaanishi huyo member ni lazma ajibu hilo swali ila akiweza anaweza kujibu.
Ni vizuri kufahamu watu wanapenda kujua nini kuhusu wewe( hata kama hutowapa nafasi.
nitarudi baadae kuwauliza watu flani flani maswali.
karibuni mjisikie mpo chit chat, agizeni na vinywaji ila bili mtalipa wenyewe.
mmmmmmh! Nimehairisha. Lol
Khaaaa da husni c ndio ucku sasa kile kikao chechu cha wanawake venue wapi jaman nishavaa na niko juu ya bodaboda nasubiri jibu dahusni!