Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
nilikuwa nina mpango nikupandishe uwe Nyumba kubwa...sasa kazi kwako..
Ha ha ha SIDANGANYIKI NG'O
nilikuwa nina mpango nikupandishe uwe Nyumba kubwa...sasa kazi kwako..
Mbona umetaja hazarani? nikishushwa busha je?
Dah! wewe kweli mjeshi yaani umeweka mambo laivu.zipo za kutosha lol
na wewe ndi 'suspect no 1' lol.....
Dah! wewe kweli mjeshi yaani umeweka mambo laivu.
Mimi nimeokoka na muda si mrefu naenda kuwatoa mapepo hapo mtaa wapili
Dah!...... kumbe kuna busha proof pia. nipewe nini kloroKabla hajafanya hv yeye saa nyingi
Mhhh interesting...nimejaribu kufikiria maswali naona hayaji.
lizz hebu fikiria zaidi mpendwa.
Maswali yapo mengi tu.
whats your favourite drink?
are you happy when you are sober or with a drink?
Unajua umekosea pale kuweka option ya kutokujibu. Lakini kwakuwa wewe ni waifu wa swahiba uporoto nitakujibu PM lakini uje kishemeji shemeji sio ukuje na mikwala, sauti ulegeze legeze kidogo.mi nitakuuliza kwanini unajiuliza hauko serious?
Unajua umekosea pale kuweka option ya kutokujibu. Lakini kwakuwa wewe ni waifu wa swahiba uporoto nitakujibu PM lakini uje kishemeji shemeji sio ukuje na mikwala, sauti ulegeze legeze kidogo.
ukishindwa kujibu unajifanya kama hujaelewa vile. Dena hebu rudia swali.
Halafu nauliza unaishi wapi nikutembelee.
Unajua umekosea pale kuweka option ya kutokujibu. Lakini kwakuwa wewe ni waifu wa swahiba uporoto nitakujibu PM lakini uje kishemeji shemeji sio ukuje na mikwala, sauti ulegeze legeze kidogo.