klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
hehehe niliwahi kumkuta anahesabu nazi kwa kalkuleta.Lizy huyo Hus umemuweza hajui hesabu kabisa haha ha ha ha
hehehe niliwahi kumkuta anahesabu nazi kwa kalkuleta.Lizy huyo Hus umemuweza hajui hesabu kabisa haha ha ha ha
Cantalisia uko vipi vipi?
mnene au mwembamba?mfupi?
udhaifu wangu ni kuwa siwezi kuwa 'happy kama wengine' ninapokuwa broke au sina pesa at
the moment ninayo hitaji...nahisi i care more about having money than average people..
nikiwaona watu with less money tha me wako more happy than me huwa nashangaa nawa envy...
Hhahahah...na nimeweka hivyo makusudi ili wale wavivu wapite tu!!!
Enhehhe DA...wewe ni mpishi mzuri?
khaaa! Marahaba kabla hujaniamkia. Lol.
Hata mimi, ila nmekuona ndo nmekumbuka!
Enhe bado mnaendelea na Matola?
umeona eeh!
Halaf nilipoona jina lako tu masuali yote nimeyasahau. kulaleki!
Nice...thank you Boss!!
Na hongera kwa kujitambua!!!
Hali kama hiyo inaweza kutokana na priority zako pia mtazamo wako wa maisha....
khaaa! Marahaba kabla hujaniamkia. Lol.
hehehe mchungaji bana dah!Ritz achana na ushoga!
Lazima kuna mtu kakwambia vile nilivompikia mahanjumati najua sana aisee
Hivi Dena? Hyo kwenye avatar yako ni ushungi, mtandio au baibui?
wananiita hasheem thabit hapa kitaa.WASANII utawajua tu....
Haya Kloro niambie we urefu wako kiasi gani???
jG....We unapenda chakula gani?
thanx..was this the answer you wanted?lol...
wananiita hasheem thabit hapa kitaa.
I bet not. Hehehe kamanda nakuaminia, tego la kunguru hanasi sungura banathanx..was this the answer you wanted?lol...
hahahahaha! Tufanye sa tatu. Ngoja nitafte venue. Naomba uwataarifu na wanawake wengine.
B2T: Hivi lisia mtambuzi ni baba yako mzazi?