Mimi husema siku zote hili jukwaa ni pasua kichwa na ugonjwa wa moyo.
Hivi nani kaelewa mleta mada anataka kuelewesha nini? mimi nimesoma mara tatu naona naumia kichwa lakini ujumbe sijauelewa, au mna lugha zenu za kiza huku MMU?
i have been through that road before, nikasema its not my thing. nikajipa so many excuses kupenda ili tu nisiumie moyo.... Nature has its own ways to show u how things should be.
mhhhhhhh my dada kwanini
ladyfurahia, hebu pata picha, umepata jibwana huku MMU, halafu mnajikuta mmesha kutanisha vikojoleo vyenu, halafu kesho yake unakuta post MMU, inasema UTAMU WA MPWECHELO WA ladyfurahia
Maelezo marefu lakini maudhui ya mada hayasadifu kichwa cha habari...
In short upo off point...
bi'mdogo, somo laonekana zuri ila maudhui yake "yamejificha". Ni ngumu kukuelewa ulimaanisha nini hapa!! lifanyie marekebisho tafadhali, walengwa wakuelewe!!
Mimi husema siku zote hili jukwaa ni pasua kichwa na ugonjwa wa moyo.
Hivi nani kaelewa mleta mada anataka kuelewesha nini? mimi nimesoma mara tatu naona naumia kichwa lakini ujumbe sijauelewa, au mna lugha zenu za kiza huku MMU?
hivi Mr Rocky unataka Husninyo aniache nipigwe na baridi kisha ww upigwe na nini? liv Heaven on Earth alon
cc Asprin
hahahah!!! una hatari wewe, mie acha tu nipate feedback from Heaven on Earth. kunyang'anyana fursa sio vizuri ujue.
Wewe huku unafuata nini? Hujaolewa weye? Ehh!!Mimi husema siku zote hili jukwaa ni pasua kichwa na ugonjwa wa moyo.
Hivi nani kaelewa mleta mada anataka kuelewesha nini? mimi nimesoma mara tatu naona naumia kichwa lakini ujumbe sijauelewa, au mna lugha zenu za kiza huku MMU?
nimependa signature yako mkuu..
haya mambo mi nisha give up
Chonde chonde, ishia kupenda singature tu!!!