Utamtambuaje kama ni rijali?

Utamtambuaje kama ni rijali?

Habarini Mabibi na Mabwana


Awali ya yote ndo nimejongea tena kwenye fani yangu ya KUWAFUNDA/KUWAPA SOMO
murua ambalo litakufanya uwe mdadisi, m TAFiti , na mchambuzi wa mambo na vilevile
kupata ufahamu mpya ambao utakutoa sehemu ulipo na kukupeleka sehemu ingine.

SOMO MAHUSUSI KWA WADADA

Leo somo hili linabase kwetu sisi namna ya kutambua, kumjua mwenzi wako kiuhalisia
wakati wa mwanzo wa mahusiano yenu baina yenu mnakuwa watu wenye furaha na
mihemkko / bashasha za kimapenzi wala huwezi jua mwenzio yuko kamili au si kamili
na vilevile inapelekea hata ukiambiwa na watu kuwa huyo uliyenaye hayuko kamili huko
wewe unaona kama wanakuizingua na kukuondolea ndege wako kumbe wanakusaidia tu
pindi ukifunga naye ndoa tu ndo unajua matatizo ya mwandani wako , na hapo unaanza
kujuta na wakati ulishapewa taarifa mapema ili uweze kujitenga naye.

HATUA ZA KUFANYA WAKATI WA MWANZO WA MAHUSIANO

Wakati mko kwenye hot love ni vyema ukaanza kumsoma mwandani wako huyu yeye
hajui ni kitu gani unamsoma, kwa kufanya ishara ambazo wewe utajua kuwa anapanda
au hapandi mizinga bila kugusia chochote kwenye miili yenu kwani kufanya hivyo nje ya
ndoa ni dhambi mpaka ndoa ndo ufanye tendo hilo.

Vile vile kuwa makini na wanaume ambao nyuma wamepigwa kitambaa kwani mbele wana
kuwa wamekandikwa kama maandazi yanavyoimuliwa, usipende kuwa na mahusiano na
wanaume wa dizaini hiyo shostito kwani watakufanya uhemeheme bila sababu yoyote.
watakuletea magonjwa maana wengine si wasafi wa huko chini wanachojua wao ni usafi
wa uso lakini huko chini ogopa na wengine kufua nguo za nkati inakuwa ni mbinde mpaka Nov.

Bestito Ogopa sana wanaume vimbaumbau wana high speed watakufanya uwe mgonjwa
kila mara wakati mzigo umeshakamilika. kuwa makini nao uwe mtu mwenye busara siku za
mwanzo usipende kutoa mwili wako hovyohovyo kwa hao watu hawana shukrani kabisa
badala yake watakutupilia mbali na kusema haaa!! nilisham:frusty: kuwa makini bestito
wewe ni mwanamke wa muhimu sana na unapendeza ulivyo jipende, jitunze
na jiheshimu utakapojiheshimu utaheshimiwa

Nawapenda

cc: Mamndenyi, Kongosho, mwaJ, mwallu, Heaven on Earth, Lady doctor, Passion Lady, snowhite, Eveln salt, gfsonwin, The secretary, Bujibuji, Mtambuzi (ingawa utaki kunilike), Erickb52, Excel, Kaizer, mshana jr, C6 na
na marafiki zangu wote karibuni hapa tushare hili somo

NB: Naomba sitaki mihemko ya kiutani hapa tunaelimishimana na kufundishana
kama kuna niliowaboa samahani

Wenu,

Ladyf

mimi ni mwanaume ilasijakuelewa yaan sijaelewa ujumbe ulio katika maandishi yako..samahani pia
 
Last edited by a moderator:
hahahahahhaaaaaaaaaaaaaaiya bestito jamani ujaelewa nini hapo sasa?
wewe umekuwa TOMASO jamani ngoja uone kwa picha

rr.jpg

waangalie hao wanadondi huyo aliyeangalia hukoooooooo
ladyfurahia mi sijaelewa hii pont muelewesho puliz

wanaume ambao nyuma wamepigwa kitambaa
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi hayana fomula, utasema huyu hafai kumbe ndo ana kila kitu mwenzio anataka. Na urijali wa mtu waupimwi kwa nje. Siri ya haya mavitu ni chumbani, ingia ndo utajua rijali, msafi n.k. La sivyo amini Mungu na uwe tayari kupokea chochote utachokuta siku hiyo huko chumbani
 
ooh...it is not my thing
i have been through that road before, nikasema its not my thing. nikajipa so many excuses kupenda ili tu nisiumie moyo.... Nature has its own ways to show u how things should be.
 
Back
Top Bottom