Utamtambuaje kama ni rijali?

Utamtambuaje kama ni rijali?

Habarini Mabibi na Mabwana Awali ya yote ndo nimejongea tena kwenye fani yangu ya KUWAFUNDA/KUWAPA SOMO murua ambalo litakufanya uwe mdadisi, m TAFiti , na mchambuzi wa mambo na vilevile kupata ufahamu mpya ambao utakutoa sehemu ulipo na kukupeleka sehemu ingine.

SOMO MAHUSUSI KWA WADADA Leo somo hili linabase kwetu sisi namna ya kutambua, kumjua mwenzi wako kiuhalisia wakati wa mwanzo wa mahusiano yenu baina yenu mnakuwa watu wenye furaha namihemkko / bashasha za kimapenzi wala huwezi jua mwenzio yuko kamili au si kamilina vilevile inapelekea hata ukiambiwa na watu kuwa huyo uliyenaye hayuko kamili hukowewe unaona kama wanakuizingua na kukuondolea ndege wako kumbe wanakusaidia tupindi ukifunga naye ndoa tu ndo unajua matatizo ya mwandani wako , na hapo unaanzakujuta na wakati ulishapewa taarifa mapema ili uweze kujitenga naye.

HATUA ZA KUFANYA WAKATI WA MWANZO WA MAHUSIANO Wakati mko kwenye hot love ni vyema ukaanza kumsoma mwandani wako huyu yeyehajui ni kitu gani unamsoma, kwa kufanya ishara ambazo wewe utajua kuwa anapandaau hapandi mizinga bila kugusia chochote kwenye miili yenu kwani kufanya hivyo nje yandoa ni dhambi mpaka ndoa ndo ufanye tendo hilo.

Vile vile kuwa makini na wanaume ambao nyuma wamepigwa kitambaa kwani mbele wanakuwa wamekandikwa kama maandazi yanavyoimuliwa, usipende kuwa na mahusiano nawanaume wa dizaini hiyo shostito kwani watakufanya uhemeheme bila sababu yoyote.

watakuletea magonjwa maana wengine si wasafi wa huko chini wanachojua wao ni usafiwa uso lakini huko chini ogopa na wengine kufua nguo za nkati inakuwa ni mbinde mpaka Nov.

Bestito Ogopa sana wanaume vimbaumbau wana high speed watakufanya uwe mgonjwa kila mara wakati mzigo umeshakamilika.

Kuwa makini nao uwe mtu mwenye busara siku zamwanzo usipende kutoa mwili wako hovyohovyo kwa hao watu hawana shukrani kabisa badala yake watakutupilia mbali na kusema haaa!! nilisham kuwa makini bestitowewe ni mwanamke wa muhimu sana na unapendeza ulivyo jipende, jitunzena jiheshimu utakapojiheshimu utaheshimiwa Nawapendacc: Mamndenyi, Kongosho, mwaJ, mwallu, Heaven on Earth, Lady doctor, Passion Lady, snowhite, Eveln salt, gfsonwin, The secretary, Bujibuji, Mtambuzi (ingawa utaki kunilike), Erickb52, Excel, Kaizer, mshana jr, C6 nana marafiki zangu wote karibuni hapa tushare hili somo

NB: Naomba sitaki mihemko ya kiutani hapa tunaelimishimana na kufundishanakama kuna niliowaboa samahani

Wenu,
Ladyf

Mbona kama umeweka mchanyato wa habari, ume beluwa beluwa tu..! Labda nasi tuibeluwe hivyo hivyo.!
 
hahaha mzima buheri wa afya njema sana bestito ulipotelea wapi mzungu wewe?

hili darasa naona limewachanganya sana bora nirudi kule SIASANI niendeleze KATIBA
SI UNAJUA TULITOKA WALE WAKIJANI WALITUBOA ?
ladyfurahia habari yako bhana! Mi cjambo wa afya njema!

Naona umefungua class kwa warembo wa Jf.

Waelimishe na Mungu akubariki!
 
Wewe belua tu usipate shida hapo halafu wewe kama unafanana na .................
mbona kama umeweka mchanyato wa habari, ume beluwa beluwa tu..! Labda nasi tuibeluwe hivyo hivyo.!
 
Habarini Mabibi na Mabwana Awali ya yote ndo nimejongea tena kwenye fani yangu ya KUWAFUNDA/KUWAPA SOMO murua ambalo litakufanya uwe mdadisi, m TAFiti , na mchambuzi wa mambo na vilevile kupata ufahamu mpya ambao utakutoa sehemu ulipo na kukupeleka sehemu ingine.

SOMO MAHUSUSI KWA WADADA Leo somo hili linabase kwetu sisi namna ya kutambua, kumjua mwenzi wako kiuhalisia wakati wa mwanzo wa mahusiano yenu baina yenu mnakuwa watu wenye furaha namihemkko / bashasha za kimapenzi wala huwezi jua mwenzio yuko kamili au si kamilina vilevile inapelekea hata ukiambiwa na watu kuwa huyo uliyenaye hayuko kamili hukowewe unaona kama wanakuizingua na kukuondolea ndege wako kumbe wanakusaidia tupindi ukifunga naye ndoa tu ndo unajua matatizo ya mwandani wako , na hapo unaanzakujuta na wakati ulishapewa taarifa mapema ili uweze kujitenga naye.

HATUA ZA KUFANYA WAKATI WA MWANZO WA MAHUSIANO
Wakati mko kwenye hot love ni vyema ukaanza kumsoma mwandani wako huyu yeyehajui ni kitu gani unamsoma, kwa kufanya ishara ambazo wewe utajua kuwa anapandaau hapandi mizinga bila kugusia chochote kwenye miili yenu kwani kufanya hivyo nje yandoa ni dhambi mpaka ndoa ndo ufanye tendo hilo.

Vile vile kuwa makini na wanaume ambao nyuma wamepigwa kitambaa kwani mbele wanakuwa wamekandikwa kama maandazi yanavyoimuliwa, usipende kuwa na mahusiano nawanaume wa dizaini hiyo shostito kwani watakufanya uhemeheme bila sababu yoyote.

watakuletea magonjwa maana wengine si wasafi wa huko chini wanachojua wao ni usafiwa uso lakini huko chini ogopa na wengine kufua nguo za nkati inakuwa ni mbinde mpaka Nov.

Bestito Ogopa sana wanaume vimbaumbau wana high speed watakufanya uwe mgonjwa kila mara wakati mzigo umeshakamilika.

Kuwa makini nao uwe mtu mwenye busara siku zamwanzo usipende kutoa mwili wako hovyohovyo kwa hao watu hawana shukrani kabisa badala yake watakutupilia mbali na kusema haaa!! nilisham kuwa makini bestitowewe ni mwanamke wa muhimu sana na unapendeza ulivyo jipende, jitunzena jiheshimu utakapojiheshimu utaheshimiwa


cc: Mamndenyi, Kongosho, mwaJ, mwallu, Heaven on Earth, Lady doctor, Passion Lady, snowhite, Eveln salt, gfsonwin, The secretary, Bujibuji, Mtambuzi (ingawa utaki kunilike), Erickb52, Excel, Kaizer, mshana jr, C6 nana marafiki zangu wote karibuni hapa tushare hili somo

NB: Naomba sitaki mihemko ya kiutani hapa tunaelimishimana na kufundishanakama kuna niliowaboa samahani

Wasalaam,
Ladyf
Hii mada ni implication in wadada wa Vatican ila si wadada wa Tanzania bara
 
hhahaaaaaaaaaaaa asante kwa kunimiss uko wapi wewe, unajua mambo ya wasapu ndo yametufanya tupotee kidg hapa hahahaaaaaa

Nipo bna
Humu napita pita kusoma tuu sio mchangiaji ssana
hayo mamb ya mitandao yametufanya tupotee humu kabisa
 
Nahisi bado inaendelea hapo maana ili ujue urijali wangu lazima tufanye practical pamoja.
 
Habarini Mabibi na Mabwana Awali ya yote ndo nimejongea tena kwenye fani yangu ya KUWAFUNDA/KUWAPA SOMO murua ambalo litakufanya uwe mdadisi, m TAFiti , na mchambuzi wa mambo na vilevile kupata ufahamu mpya ambao utakutoa sehemu ulipo na kukupeleka sehemu ingine.

SOMO MAHUSUSI KWA WADADA Leo somo hili linabase kwetu sisi namna ya kutambua, kumjua mwenzi wako kiuhalisia wakati wa mwanzo wa mahusiano yenu baina yenu mnakuwa watu wenye furaha namihemkko / bashasha za kimapenzi wala huwezi jua mwenzio yuko kamili au si kamilina vilevile inapelekea hata ukiambiwa na watu kuwa huyo uliyenaye hayuko kamili hukowewe unaona kama wanakuizingua na kukuondolea ndege wako kumbe wanakusaidia tupindi ukifunga naye ndoa tu ndo unajua matatizo ya mwandani wako , na hapo unaanzakujuta na wakati ulishapewa taarifa mapema ili uweze kujitenga naye.

HATUA ZA KUFANYA WAKATI WA MWANZO WA MAHUSIANO
Wakati mko kwenye hot love ni vyema ukaanza kumsoma mwandani wako huyu yeyehajui ni kitu gani unamsoma, kwa kufanya ishara ambazo wewe utajua kuwa anapandaau hapandi mizinga bila kugusia chochote kwenye miili yenu kwani kufanya hivyo nje yandoa ni dhambi mpaka ndoa ndo ufanye tendo hilo.

Vile vile kuwa makini na wanaume ambao nyuma wamepigwa kitambaa kwani mbele wanakuwa wamekandikwa kama maandazi yanavyoimuliwa, usipende kuwa na mahusiano nawanaume wa dizaini hiyo shostito kwani watakufanya uhemeheme bila sababu yoyote.

watakuletea magonjwa maana wengine si wasafi wa huko chini wanachojua wao ni usafiwa uso lakini huko chini ogopa na wengine kufua nguo za nkati inakuwa ni mbinde mpaka Nov.

Bestito Ogopa sana wanaume vimbaumbau wana high speed watakufanya uwe mgonjwa kila mara wakati mzigo umeshakamilika.

Kuwa makini nao uwe mtu mwenye busara siku zamwanzo usipende kutoa mwili wako hovyohovyo kwa hao watu hawana shukrani kabisa badala yake watakutupilia mbali na kusema haaa!! nilisham kuwa makini bestitowewe ni mwanamke wa muhimu sana na unapendeza ulivyo jipende, jitunzena jiheshimu utakapojiheshimu utaheshimiwa


cc: Mamndenyi, Kongosho, mwaJ, mwallu, Heaven on Earth, Lady doctor, Passion Lady, snowhite, Eveln salt, gfsonwin, The secretary, Bujibuji, Mtambuzi (ingawa utaki kunilike), Erickb52, Excel, Kaizer, mshana jr, C6 nana marafiki zangu wote karibuni hapa tushare hili somo

NB: Naomba sitaki mihemko ya kiutani hapa tunaelimishimana na kufundishanakama kuna niliowaboa samahani

Wasalaam,
Ladyf
Aujataja lijari anakuwaje umetaja aina za wanaume
 
Nipo bna
Humu napita pita kusoma tuu sio mchangiaji ssana
hayo mamb ya mitandao yametufanya tupotee humu kabisa
SASA ITABD TUTAFUTANE MKUU KWA UPANDE MWINGINE HEBU MTAFUTE VALLE AKUUNGE KWENYE GROUP LETU BASI
 
Back
Top Bottom