grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Hapo huyo jamaa akiwanyea hao mamba watadhani jamaa ndiyo ameanguka, hivyo watazama majini kulitafuta Jivi. Hapo ndipo jamaa atarukia majini na ataogelea na kutokea upande wa pili.
Anyway, ngoja nimpigie simu kama hajui kuogelea nitampelekea Helcopter yangu ikamuondoe eneo la tukio.
Anyway, ngoja nimpigie simu kama hajui kuogelea nitampelekea Helcopter yangu ikamuondoe eneo la tukio.