Paloma
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 5,331
- 4,956
Senkyu veri machi.
hahahhahaaaaaaa umenichekesha sana mpk nimejishtukia! nimekumbuka ile ya maza hause wa bunge!!! senkyu vere machieee..............hahahahhaaaa
Senkyu veri machi.
Halafu hivi huyo jamaa wakati anaanza kuukata huo mti, alitegemea utaangua upande upi?
Kwa haraka naona kulikuwa na kila dalili za mti kuangukia majini na huko tayari ndio makazi ya mamba...
Mwache aliwe tu kwa kuwa hakufikiria kabla...
Nimewahi kusikia documentary moja nadhani ni National Geography jinsi ya kukabiliana na Simba..Simba hawezi mdhuru mtu mpka amekuvunja shingo kwanza.Cha kufanya ni kulala chini kimya bila vurugu huku mikono yako imeziba shingo yako..hakikisha Simba haipati shingo yako.Hapo namwambia amkamate nyoka amtupe majini make ndo kiumbe ambacho anaweza kupambana nacho na akakishinda nguvu!
hahahhahaaaaaaa umenichekesha sana mpk nimejishtukia! nimekumbuka ile ya maza hause wa bunge!!! senkyu vere machieee..............hahahahhaaaa
maneno kutoka mepesiiiiiiiiiiiiiiii vitendo sasa ndo shughuli pevu,usiombe ndugu yangu!Mbona kazi ndogo tu hii? Hapa inabidi amshike nyoka kisha amrushie simba huyo nyoka maana simba anaogopa nyoka. Huyo nyoka anataka kushuka chini ila anashindwa/kuogopa kuanguka hivyo anamfuata jamaa ili apate lifti ya kushuka chini. Na kama jamaa ni jasiri, inabidi akamate huyo nyoka na kumua huku akiwa juu kwani akifanya hivyo simba na mamba wote wanadhani jamaa ni katili kumkimbia ili kujihadhali na huyo jangili la wanyama.
hata usipoikabidhisha atajikabidhi mwenyewe muumba kwa hali ilivyo ni muujiza tu unahitajika hapo.kumbe una huruma eehsaudari kiukweli kabisa hali iliyopo hapo inatisha aiseee yaani labda muujiza tu utokee coz hakuna kwa kukimbilia so ingekuwa mimi ningeukabidhi uhai wangu kwa mweza yote tu basi vinginevyo unasubiri matokeo.na hiyo picha inareflect mambo ambayo kwa kweli yanatukuta maishani nyakati nyingine yaani unakuwa umezungukwa na vikwazo mpaka huoni maana ya kuendelea kuishi,daaaahhh so sad aiseeee.