Utajiri wa masharti ni mateso

Utajiri wa masharti ni mateso

Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Ukibanwa na tumbo la kuendesha usiku itakuwaje? Masharti Mengine mmmmmmhhh!
 
Ila mbona pale mlowo kuna kijana nae wanasema ana pesa yake niya hivyo lakini hayupo kwenye masharti ya hivyo

Ukimtazama anapiga pamba safi gari safi and coster za kumwaga mbeya tunduma

Labda hizi mambo zipo za aina tofauti sana
Lazima itakua kiume chake,hakifanyi kazi
Hata uwe na ghala limejaa noti,kama chini kumekufa ni kazi bure
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Usipende kuhukumu usije nawe ukahukumiwa, kipimo hichohicho unachotumia kuhukumu wengine ndicho na wewe utahukumiwa nacho.
 
Ni bora ukawa na Mia mfukoni lakini umeipata kwa jasho.

Nimetembea hiyo Mikoa yote ni matajiri wachache sana wanaofurahia Pesa zao.

Lakini wengi Pesa zao ni za 'ndagu' zenye masharti lukuki ambayo ni ya kujitesa tu, Usitembee na mwanamke mwingine zaidi ya mke wako, Usivae viatu zaidi ya kandambili, Usinye choo cha nyumbani n.k

Sasa hayo ni mateso ndugu zangu , Raha Pesa uifurahie na sio ikupe Karaha.
Its better to cry in Marcedes than on bicycle!
 
Usitembee na mke zaidi ya mkeo
Usile nyama
Usile hotelini
Usilale gesti
Usivae nguo nzuri
Usinywe pombe
Usipeleke watoto shule za kulipia n.k n.k
Kwa masharti hayo unahitaji ndagu tena au ujinga tu
Hapa ndiyo waganga wanapotulia hela, anakupa masharti ili usitumie hela kirahisi, unamake pesa nyingi na huzitumii. Hapo kuwa tajiri ni rahisi ukiamini dawa ya mganga ndiyo imekutoa.
 
Back
Top Bottom