dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,955
- 9,531
Mambo kama haya nadhani NIGERIA kwa hapa Bongo sidhaniMshana hii inapatikana wapi?
Mambo kama haya nadhani NIGERIA kwa hapa Bongo sidhaniMshana hii inapatikana wapi?
Ndugu usilete ubishi usio na maana usione watu wanamiliki maBIASHARA ya maana usidhani wote wanatumia njia sahihi kupata hizo Mali....kinachofanyika hapo uchawi.....Aliyefufuka in Yesu pekee hakuna mwingine. Jaribu uone
Duh....kwahiyo ndugu stori ya KABASELE la MPANYA inaukweli ndani yake!Yeye ilikuwa sio kwa ajili ya utajiri,bali ilikuwa ndio mtindo wake kabla hajatoa wimbo/album alikuwa anatambika kwa mizimu ya kwao ambapo alikuwa anajifungia ndani kwenye chumba maalumu hata kwa wiki mbili anakuwa kama kafariki. Kosa lililofanyika ni Mama yake alipokwenda kwake na kuingia humo chumbani ndio akafa moja kwa moja.
Ndio Mkuu.Duh....kwahiyo ndugu stori ya KABASELE la MPANYA inaukweli ndani yake!
We muongo namsikiliza kabasele sasa hivi ["pon moun paka bouger"] .A very great single. Uzimzushie kafa a natural death.Niliwahi sikia kuwa. Pepe Kaller mwanamusic wa DRC. alifanya hivyo, mke wake akashituka ndio akafa.
Bora umasikini.Pesa pesa,mambo yote pesa. Hivi kufa Kisha ukafufuka na kulala ndani ya maji ya baharini au ziwani kipi bora?
Hiyo ni issue ya Uchawi...hujawahi kuona mambo za Mazingaombwe?......ndio mipango yenyewe inavyokuwaHiv mshana mtu atakufaje na koaza kwa siku Saba. HAlaf arud?
umesema kweli mkuu, namfahamu tajiri mmoja hapa nchini yeye anaoza na kutoa mafunza kila baada ya mwezi na huchukua wiki nzima kurudi kwenye hali ya kawaida huku akisubiri mwisho wa mwez mwangne ufike,yaani muda wte anatembea na begi la manukato..Ni aina mojawapo ya uchawi wa kupata utajiri ukiacha huu wa ;
kuua ndugu
Kuwafanya wanafamilia ndondocha
Kuwekwa kidonda mwilini
Kupewa masharti ya chakula nguo na magari nk nk
Huu una mambo yake ya ajabu, unapewa dawa ambayo utamshirikisha mkeo tuu....ukishakunywa hiyo dawa unakufa na kuoza kabisa mpaka kutoa funza wengi
Sasa mkeo kazi yake kila siku itabidi awafagie hao funza na kuwaweka kwenye ndio kwa mpaka siku ya saba utakapofufuka..... utajiri wako utategemea na wingi wa funza watakaokusanywa kwa siku
Ukishamaliza siku Saba utafufuka na biashara zako zitaanza kuchanganya
Onyo na tahadhari
-hutakiwi kuwa na mwanamke mwingine
-mkeo hapaswi kushtuka mara ya kwanza akiwaona funza utakufa moja kwa moja
-so wewe wala mkeo mnapaswa kutoa siri hii kwa yeyote hata chini ya mtutu wa bunduki
-Ishu ya kufa wiki nzima na kuoza utaifanya kila biashara zinapoyumba
Kama bado unataka utajiri kwa njia za mkato fikiria mara mbili kabla hujamua
Dada Na wewe mbona hivyo jamani? Kanisa limekukosea nini sasa Na wewe, uchokozi tuHizo ni porojo na ni uongo mtupu.
Kama picha za kinaijeria, uongo huu huishia kwa mchungaji na kanisani.
Wajinga Ndiyo Waliwao.
Funguka tuu hapa hapaWatu wanadharau hii mada, ila mimi mwenyewe ni mtafutaji na ktk kutafuta maisha kuna mengi,,,, una la ziada niPM nikujuze!
Niliyakataa mm mwenyewe hayo!Funguka tuu hapa hapa