% kubwa ya wafanyabiashara wa kiafrika wanapita kwenye short cut hizo hasa hapa kwetu Tanzania ndio wamekithiri.
Zamani ilikuwa ni makabila fulani / kwa sasa imekuwa km fashion' ndio maana ugumu wa maisha unaongezeka kila kukicha maana shetani kaingia kwenye cash flow nchini" hawa wafanyabiashara wa mtindo huu wameharibu kabisa mzunguko wa pesa (how) ...matumizi yao yapo fixed . ....kula/vaa/kunywa/ishi ni shida, mfano tunaona hotpot zinavyoingia kariakoo mchana na ma housegirl as if hakuna migahawa/mamantilie au hotel ' nafikiri ni sharti mojawapo kuwa wasile msosi wowote usiopikwa home.
Hawa ndio wanaonyofoa kingo za noti kwa maana wanaoijua wenyewe/ Mshana naomba tafsiri ya hili.
Ushirikina umekithiri sana Tanzania nafikiri hili nalo ni JIPU ambalo linahitaji kutumbuliwa na limekosa mtumbuaji
"MUNGU TUSAIDIE."