Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Hili gazeti si linaandika habari baada ya kupewa maelekezo na bwana nanihiii...Ivi hili gazeti la Dira halinaga habari zaidi ya Dr. DAU?
Hili gazeti si linaandika habari baada ya kupewa maelekezo na bwana nanihiii...Ivi hili gazeti la Dira halinaga habari zaidi ya Dr. DAU?
Siyo mimi niliyeeleza kuwa Dau ana hisa Newcastle. Gazeti la Dira ndiyo limeandika. Nina imani watakuwa na vielelezo ambavyo wewe na mimi, wote hatuna. Siamini gazeti linalohaririwa na mtu mwenye kiwango kizuri cha uelewa kama gazeti la Dira linaweza kuzua jambo bila ya kuwa na vielelezo vyovyote maana hatari ya kufanya hivyo wanaijua.Tufahamishe basi hizo hisa ngapi anamiliki.
Halafu unajua mwanahisa na mmiliki tofauti yao?
ha ha asante kwa kuninasua
hivi haya magazeti na mavichwa makubwa kama hayo.....hayaogopi??
TATIZO LAO HUWA INAJIWEHUSHA NA KUJIFANYA NI MIZITO YA KUKUBALI UKWELISasa porojo yote hiyo lakini hujaweka hisa za Dau. Kulikoni? Au ana hisa hewa?
Nimeuliza Dau ni tajiri kumzidi lowassa?. Mods mmefuata post yangu.
PUNGUZA POVU, JIBU MASWALIHayo ndiyo mnadanganywa na nyie mnakubali tu ............ Sasa Vatican na OIC wapi na wapi!?
Vatican ifananishe na Iran, Sudan au Saud Arabia ndiyo utaeleweka!!? Je Iran, Sudan na Saud Arabia hawana Balozi Tanzania?
Mzito Kabwela na wagalatia wote wenye husda na Dr.Dau.
Newcastle inamilikiwa na Mike Ashley kwa asilimia 100.
Pia haiko kwenye stock exchange baada ya Ashley kununua share zote na iliondolewa kutoka London stock exchange tarehe 18 July 2007.
Mkuu. Nilipofanya stadium tour 2 yrs ago, kuna sehemu moja ndani ya ofisi ( st. James park) kuna kitabu kimeorodhesha majina ya shareholders waliopita na wa sasa. Jina la Dau sikuliona.Mzito Kabwela na wagalatia wote wenye husda na Dr.Dau.
Newcastle inamilikiwa na Mike Ashley kwa asilimia 100.
Pia haiko kwenye stock exchange baada ya Ashley kununua share zote na iliondolewa kutoka London stock exchange tarehe 18 July 2007.
Ndio tunashangaa mnaohoji utajiri wa Dau je mnaweza kututhibitishia ameupataje? Baada ya hapo utuambie pia lowassa utajiri wake kaupataje na lile hekalu alilomnunulia mwanae kule London fedha kapata wapi?Kwani mtu kuwa tajiri ni kosa? Tatizo ni kuwa umeupataje huo utajiri? Hivi Lowasa ana utajiri kiasi gani?
dogo Mike Ashley anamiliki asilimia mia moja ya hisa za newcastle tuache kufikiria kwa kutumia mdomoHujui unachoongea kaka bora unyamaze.. timu ya leicester ilinunuliwa kwa pound million 56 ambayo haipo mbali na hiyo billion 100 inayosemwa. Na ukumbuke kama ni umiliki wa New castle sio lazima anunue club nzima bali unaweza kuta ni hisa asilimia kadhaa labda hata 5 ambazo bado hata hazifiki hiyo billion 100.
Mkuu,Mkuu. Nilipofanya stadium tour 2 yrs ago, kuna sehemu moja ndani ya ofisi ( st. James park) kuna kitabu kimeorodhesha majina ya shareholders waliopita na wa sasa. Jina la Dau sikuliona.
Jamii gani hiyo unayoizungumzia? Maana hata ukiona michango ya wengi humu wanataka atumbuliwe tu, na wote hawa ni sehemu ya jamiiWamempikia Jungu kwa muda mrefu sasa wamejisahau wamei over do, jamii imewashtukia
Exactly mkuu.Mkuu,
Newcastle football club haina shareholders kwasababu inamilikiwa asilimia 100 na Ashley.
UK kuna sharia, ukifanikiwa kununua asilimia 77 ya shares, unaruhusiwa kuiondoa kampuni kwenye stock exchange.
Ukifanikiwa kununua shares asilimia 90 una uwezo wa kuwalazimisha asilimia 10 iliyobaki kuuza shares zao.
Tarehe 17 July 2007 ndio siku Mike Ashley alifanikiwa kufikisha asilimia tisini ya shares na wengine waliobaki wakalazimika kuziuza za kwao.
Hiyo club iliondolewa kwenye stock exchange tarehe 18 July 2007. Unless mnaongelea kwamba Dau alikuwa na shares kabla ya muda sawa ila kwasasa mnamwonea tu.
Mwenye umiliki wa Newcastle club kwa asilimia 100 ni Ashley na wala sasa huwezi kununua share ya Newcastle.
Kwa UK kuwa shareholder sio siri, Ukitaka kujua shareholders wote wa kampuni utawajua. Kama sio kwa majina yao basi utajizua kampuni ambazo zinawawakilisha.
Simfahamu Dau, wala sijui ni fisadi au sio fisadi. Ila hii issue ya Newcastle sio ya kweli.
Uko sahihi, ni kama home shopping center, na watu wanajifanya kama vile hawajui kama kuna Panama documents, hivi zile mtu wa kawaida ungeweza kuziona wapi?Hiyo ni habari ya uchunguzi!!
Kuwataka watu walete ushahidi humu ni kuwaonea tu. Kwa nini usiwapigie simu Dira uwaulize??
Kwenye biashara kubwa sometimes unakuta kuan silent partiners ........ hao huwa hawajulikani kilahisi. Probably, Dau ni mmoja wao!! You never know!!
Sasa porojo yote hiyo lakini hujaweka hisa za Dau. Kulikoni? Au ana hisa hewa?
Mcopy na Magufuli kabisa.
Umekurupuka wewe bibi? Umenisoma argument yangu? Nime raise hoja ya watu kuteteana tena kwa lugha za matusi kwa kisingizio cha dini, kama wewe ulikuwa ni mtetezi mkubwa wa Jakaya si kwa jingine bali imani yake, wakati unakuonyesha ujinga ulioukumbatia kwa vigezo dhaifu.Dini yako inakufundisha kusema uongo?
Kama husemi uongo tuwekee hisa za Dau tujionee siyo porojo. Au ana hisa hewa za New Castle?