Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Utajiri wa Dr. Dau unashtua

UWONGO MWENGINE HATA AKILINI HAUNGII, KAMA HIYO NEW CASTLE NI ILE TIMU YA KUTOKA KWENU MWANZA SAWA.
OHHHHHH KKKKKK DARAJA LA KIGAMBONIII LIMEFUNGULIWA NA MUHESHIMIWA BALOZ DAU NDIE STAA WA SHOW HIYO NDIO HABARI YA MJINI.
 
Cc:zzk ujitathmini tena kwa kauli zako za kumtetea huyo dau


kwani ameshachunguzwa na kusibitika kwamba ni fisadi? ni kipi kinachokupa uhakika hayo yote yana ukweli? ingekuwa ni kuongea basi hata mkuu wa nchi hakufaa kuwa pale alipo mana anakashfa kibao ila bado anaonekana ni msafi.
 
Duh Hili Daraja la Dau kufunguliwa limewaletea shida kubwa sana wasiompenda Dr.

Eti mmiliki wa New castle, Sasa anafanya nini uchwarani, si angeenda zake akale samaki kwa ice cream
Tumbo hali tosheki hadi unaingia ardhini.
 
Wee Mmakonde, Dau ana hisa hata ikiwa moja na si kwamba anamiliki kwa 100%!!!

Mkuu Ileje...

Hapo uliponiita Mmakonde nimependa sana..!

Umenitendea haki sana..

I am telling you..Dr Dau Mnamsakama bure tuh..

Haifai
 
kwani ameshachunguzwa na kusibitika kwamba ni fisadi? ni kipi kinachokupa uhakika hayo yote yana ukweli? ingekuwa ni kuongea basi hata mkuu wa nchi hakufaa kuwa pale alipo mana anakashfa kibao ila bado anaonekana ni msafi.
Subira ya vuta heri.
 
Alieyaleta ni Mwakyembe na akasema ushahidi anao, mwembe yanga ilikuwa ni kuwaambia wananchi yanayojiri ndani ya ccm.
Na ushahidi aliosema tundu lissu aliupata wapi?? Na lile povu walilokuwa wanatoka kina mbowe na timu yake kwa miaka 8 kuwaambia wananchi lowassa ni fisadi walilitoa wapi? Au unanithibitishia kiwa uongozi wa chadema haujui unachofanya zaidi ya kudandia ishu za watu?
P.s: mwakyembe alishasema ana ushahidi na Slaa alisoma baadhi ya vipengere vya huo ushahidi.
 
Wewe nadhani unajifurahisha, kuna wakati unaweza kudhani wenzako hawana akili au hawatumii akili, kumbe ni wewe ndiye mwenye hayo matatizo. Unatakiwa kujibu kwa hoja, maneno mengine hayana maana yoyote maana ukimwambia mwenye akili kuwa hana akili hatageuka kuwa hana akili wala akili zake haziwezi kuhamia kwako, kama huna.

Timu ya Newcastle united ilikuwa public company kuanzia 1997. Ashley alianza kununua hisa kuanzia 2007. Kwa hiyo kabla ya 2007, unawajua wamiliki wake? Na una uhakika Dau hakununua shares kwenye hiyo kampuni wakati haijanunuliwa? Ujue kampuni hii ilipokuwa listed tu, hisa zake zilukwa oversubcribed, watu waliona kuwa ingetengeza faida kwa muda mfupi.

Soma hapa chini:

Newcastle United came to the stock market in 1997, giving thousands of supporters the chance to buy a real stake in their much-loved North East club. The share issue was hugely oversubscribed, which meant many people did not get what they hoped for.

It was in June 2007 that billionaire Mike Ashley took control when he acquired the 28% shareholding owned by club chairman Freddy Shepherd. This led to a formal takeover offer of 101p a share to all shareholders.

Shortly before the club cancelled its listing on the London Stock Exchange in July 2007, Ashley announced he owned 94%.
Mkuu kama unazijua hisa za Dr.Dau si uziweke siyo kuja na maneno matupu.
 
Watetezi Wa dau ni wengi sana sijui wanachokitetea kwa MTU mmoja kama dau wakati kuna taasisi zao zinaitaji utetezi pia kama watanzania tunataka Tanzania iwe safi kwa nini tutetehe uchafu Dau apelekwe mahakamani ukweli ujulikane Tanzania ni ya watanzania kuna watanzania wamekufa bila mafao yao nssf kwa sababu ya viongozi wakati Na wapenda sifa sasa kama dau ni mmoja wapo apelekwe mahakamani
 
Hahahahaha.... umenasa kwenye trap

Mmiliki wa Newcastle huyu hapa.

businessman Mike Ashley purchased the combined stakes of both Douglas and John Hall, 41% share in the club, through a holding company St James Holdings, with a view to buy the rest. Upon purchasing this share, he appointed Chris Mort as chairman, while gaining more shares, owning 93.19% of the club by 29 June 2007...
View attachment 339807
Mwambie Mzito Kabwela akuambie Dr.Dau ana hisa ngapi Newcastle..mkuu hamna mwafrica anayemiliki timu Uingereza kashindwa Dangote.

ha ha asante kwa kuninasua

hivi haya magazeti na mavichwa makubwa kama hayo.....hayaogopi??
 
Dau ana hisa nyingi katika timu ya mpira ya Uingerezaya Newcastle

Hili kaliwezi kuwa kweli, Newcastle inamilikiwa asilimia 100%,na Mike Ashley.

Kinachotokea ni kuwa kuna watu, kwa makusudi, wanachanganya ukweli na uongo, ili kusafishana.
 
Kwa hiyo Dr.Dau ni ownership wa Newcastle?
Soma uelewe nilichoandika, sijasema Dr. Dau ni ownership wa Newcastle, huu ndo upuuzi gani umeandika?? Dr. Dau ni ownership???
Anyway, Kama ni habari za kweli ana hisa kadhaa basi na yeye ni mmoja wa wamiliki.
 
Na ushahidi aliosema tundu lissu aliupata wapi?? Na lile povu walilokuwa wanatoka kina mbowe na timu yake kwa miaka 8 kuwaambia wananchi lowassa ni fisadi walilitoa wapi? Au unanithibitishia kiwa uongozi wa chadema haujui unachofanya zaidi ya kudandia ishu za watu?
P.s: mwakyembe alishasema ana ushahidi na Slaa alisoma baadhi ya vipengere vya huo ushahidi.
Mwkyembe alisema ila alietuhumiwa kakanusha na kasema apelekwe mahakamani, kgugumizi cha nini kumpeleka huko? Mbona muhando alipelekwa mahakamani na mahakama ime amua? Lisu na wengine wengi tulitoa povu hata kwa suala la muhando kwa kuwa Tanesco ina tuhusu wengi ila baada ya mahkama kumuona hana hatia tumeridhika kuwa ni mtu safi.. haya nendeni mahakamani kwa suala la Lowasa.
 
Brother, these guys are too selfish. Walikuwa wanaamishwa kuwa hakuna muslim msomi, na hakuna muslim tajiri. Madarasan tunawaburuza, tukija mtaani tunawaburuza pia. Hata hivyo bado hawataki kukubali.
Wanawivu sana, wanaiba sana, wanshitakiwa sana bado na wenyewe hawataki kubadilika. Ama kweli wao ni majuha.
Hizo ni inferiority complex zako, wanaodai kila siku kuna mfumo kristu, Kuna upendeleo baraza la mitihani, nafasi za uongozi zinatolewa kwa upendeleo unawajua, angalia idadi ya viongozi kwa maana ya wabunge, mawaziri, ma RC na mamlaka DC utajua wengi ni wepi, lakini cha kujiuliza ni kwa nini wako wengi huko? Mifumo sahihi ya elimu, muulize mzee Mohammed Said kasomea wapi?

Chuki mnatengeneza za kufikirika, hakuna anayewachukia waislam wasingesoma na wakaruhusiwa shule za mission, mhalifu ni mhalifu tu hana dini bwana. Akina Lowassa, Tibaijuka, Chenge na wengineo wametuhumiwa kwa rushwa, ufisadi na ubadhirifu umewahi kuwaona wenye imani moja na wao wakitokwa mapovu kuwatetea? Hapo ndipo kuna tofauti ya wao na nyinyi.

Kama umesoma basi huitendei haki elimu yakoyako Kuna zaidi ya dini katika maisha tunayoishi tukichangamana jamii zenye imani tofauti
 
Mimi nina mashaka na ukweli wa hii taarifa kutokana na haya madai kuwa "Kampuni yake pekee ndiyo inapewa tenda ya miradi ya NSSF".

Hivi hata daraja la Kigamboni lilijengwa na kampuni ya Dau?!
 
Back
Top Bottom