samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,968
Hujajua mkuu tatizo ni nini ...................... basi hii ni kama ile ya kuguswa Lowassa.Mbona akiguswa Dau watu wananyanyuka hapa kumtetea kwa kasi ya ajabu. Tatizo ni nini ?
Hujajua mkuu tatizo ni nini ...................... basi hii ni kama ile ya kuguswa Lowassa.Mbona akiguswa Dau watu wananyanyuka hapa kumtetea kwa kasi ya ajabu. Tatizo ni nini ?
Huenda ana hisa kadhaa. Mwenye major shares pale ni Ashley. Kuwa na hisa sio lazima uwe na pesa ndefu ki hivyo.!Billion 100.utamiliki timu UK? Jamani tuwe wa kweli jamani!
lowasa anajulikana ni mfanyabiashara japo ni mwansiasa,mbowe,ndesamburo,mtei wote hao ni wafanyabiashara wakubwa kila mtu anajua sasa Dau kaanza lini biasharakwani mtu kuwa tajiri ni dhambi?
nashangaa kuna watu watamnanga dr dau kuwa tajiri wakisema kuwa alikuwa mtumishi wa umma so hakupaswa kuwa tajiri and the funny thing kuwa watu hao hao miezi mitano iliyopita walitaka kumwingiza madarakani RAIS ambaye utajiri wake ulikuwa una mashaka walikuwa hawahoji jamaa kapataje utajiri
Refer "kuongea kama mmeachika na waume zenu" hapo ndipo zipo tofauti ya mentality, ukiona mtu anayejitanabaisha kwa imani, halafu mdomoni mwake zinatolewa kauli kama hizi inakuwa vigumu kumshawishi mwenye akili timamu aambatane na mtoaji kauli hizi.
Utetezi wa dini kwa lugha chafu inayopendwa na shetani (matusi) inakuonyesha kwa mtu mwenye tafakuri aina ya imani unayotetea, kama kuna waumini wenye akili wanaona hata aibu jinsi unavyoifedhehesha imani.
..kama issue ni uislam wake..mbona kuna waislam wengi tu ma boss hawasemwi?....i mean why him man??....something is fishy about him personally....hilo la yeye na uongozi wake NSSF litajulikana report ya takukuru ikitoka....lakini yanapoanza kusemwa mengine dhidi ya utajiri wake usio kifani lazima watu wahoji bana....btw yeye ni public figure....as long as alikuwa mkuu wa NSSF...hivyo kufatiliwa mambo yake kuna hoja...haswa kama kuna elements za ufisadi...Sasa wasemwe wao kwan wana sijda?au maalhajj wao?
Huwez kuwaskia wakisemwa...wee umeshawahi skia MD wa Tanesco Mramba akisemwa?
Pamoja na muaozo yoote hayo ya IPTL na Escrow na kadhalika?.
Hivi Majuz tuh Mhando aliekawa mkurugenz mkuu wa Tanesco ametoka huru kisutu hata kama ni kweli kuwa mkewe alipewa tenda na shirika...taizo kwa Dr Dau ni uislam tuuh
Maana kama ushahid hakuna
Ilikuwa geresha ya kumtoa hapo nssf ili achunguzwe ukwasi wake!Hivi Dr. Dau sialiteuliwa kuwa balozi vile!!, hivi yuko nchi gani vile?
lowasa anajulikana ni mfanyabiashara japo ni mwansiasa,mbowe,ndesamburo,mtei wote hao ni wafanyabiashara wakubwa kila mtu anajua sasa Dau kaanza lini biashara
Mtoto wa nyoka ni nyoka, laiti ungekuwa una maadili na unachokiamini kinakufundisha maadili ungekuwa na ushawishi kwa wenye ufahamu, lakini kwa lugha yako ina kuonyesha taswira sahihi ya uelewa wako,. Kwa akili hiyo huyo unayemtetea kwa akili hiyo atakuwa mtu wa aina gani anayetetewa na mporomosha matusi? Jibu ni dhahiri, JIZI!!!!Potelea mbali..
Tunatumia lugha ambayo itakua rahis kwenu kueleweka...
Hatupo hapa kuhubiri dini umesikia wewe baba paroko...
Ndio maana JK ni shabiki wa kutupwa wa Newcastle United....Utajiri wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NSSF, Dr. Ramadhani Dau unafika zaidi ya Tsh 100 Bilioni.
- Ni mmoja wa wamiliki wa timu ya Newcastle ya Uingereza.
- Kampuni zake pekee ndizo zinazopewa tenda ya kufanya kazi NSSF.
Chanzo: Dira ya Mtanzania - 18 Aprili 2016
Kwani Uongo?Hizo ni inferiority complex zako, wanaodai kila siku kuna mfumo kristu, Kuna upendeleo baraza la mitihani, nafasi za uongozi zinatolewa kwa upendeleo unawajua, angalia idadi ya viongozi kwa maana ya wabunge, mawaziri, ma RC na mamlaka DC utajua wengi ni wepi, lakini cha kujiuliza ni kwa nini wako wengi huko? Mifumo sahihi ya elimu, muulize mzee Mohammed Said kasomea wapi?
Chuki mnatengeneza za kufikirika, hakuna anayewachukia waislam wasingesoma na wakaruhusiwa shule za mission, mhalifu ni mhalifu tu hana dini bwana. Akina Lowassa, Tibaijuka, Chenge na wengineo wametuhumiwa kwa rushwa, ufisadi na ubadhirifu umewahi kuwaona wenye imani moja na wao wakitokwa mapovu kuwatetea? Hapo ndipo kuna tofauti ya wao na nyinyi.
Kama umesoma basi huitendei haki elimu yakoyako Kuna zaidi ya dini katika maisha tunayoishi tukichangamana jamii zenye imani tofauti
Acha ujuha, kumiliki sio 100% , inaweza kuwa sehemu ya Hisa hata kama ni 000.01% , wewe ni mmiliki! Umeelewa?Billion 100.utamiliki timu UK? Jamani tuwe wa kweli jamani!
Hizo ni inferiority complex zako, wanaodai kila siku kuna mfumo kristu, Kuna upendeleo baraza la mitihani, nafasi za uongozi zinatolewa kwa upendeleo unawajua, angalia idadi ya viongozi kwa maana ya wabunge, mawaziri, ma RC na mamlaka DC utajua wengi ni wepi, lakini cha kujiuliza ni kwa nini wako wengi huko? Mifumo sahihi ya elimu, muulize mzee Mohammed Said kasomea wapi?
Chuki mnatengeneza za kufikirika, hakuna anayewachukia waislam wasingesoma na wakaruhusiwa shule za mission, mhalifu ni mhalifu tu hana dini bwana. Akina Lowassa, Tibaijuka, Chenge na wengineo wametuhumiwa kwa rushwa, ufisadi na ubadhirifu umewahi kuwaona wenye imani moja na wao wakitokwa mapovu kuwatetea? Hapo ndipo kuna tofauti ya wao na nyinyi.
Kama umesoma basi huitendei haki elimu yakoyako Kuna zaidi ya dini katika maisha tunayoishi tukichangamana jamii zenye imani tofauti
Na wewe unaamini Dr.Dau ni mmiliki wa club ya mpira ya Newcastle?
Kwa faida ya JF tutajie hisa za Dr.Dau ni ngapi hapo Newcastle.
Halafu tuambie Mike Ashley, ana hisa ngapi?
Nasubiri jibu nipo kipembeni hapa nimejibanza nakunywa kahawa na faluda.
JIBU HAYA MASWALI:-
1. Kwanini alivunja EAMWS baada ya Uhuru?
2. Kwanini kanisa kukubali siasa za ujamaa baada ya Nyerere kukutana na maaskofu waliopinga mwanzo baada ya kupata Uhuru.
3. Kwanini alifuta mahakama ya kadhi baada ya kupata Uhuru.
4. Kwanini Nyerere aliruhusu maaskofu kuingiza chakula, nguo, mabati na gari wengine wakipigwa marufuku wakati wengine wakizuiwa wakati ule wa uhujumu wa uchumi? Soma kitabu cha Padri John Sivalon.
5. Kwanini alimfukuza Tanganyika Mufti wa kwanza shehe Hassan Bin Amir?
6. Kwanini aliitenga kimaendeleo mikoa ya Pwani, Lindi, mtwara na Tabora?
7. Kwanini gazeti moja nchini Uingereza lilimtuhumu kuwa baraza la mawaziri limejaa wakatoliki? Refer speech ya mwl, alikiri kutuhumiwa ila akajibu suala zito kwa masihara kwa George Kahama.
8. Kukubali kuanzishwa ubalozi wa Vatican Tanzania huku akizuia Tanzania kujiunga OIC.
9. Kushindwa kuzuia mkataba uliosainiwa na Low asa uitwao Memorundam of understanding huku akijua Tanzania haina dini.