Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Utajiri wa Dr. Dau unashtua

Mbona akiguswa Dau watu wananyanyuka hapa kumtetea kwa kasi ya ajabu. Tatizo ni nini ?
 
Utajiri wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NSSF, Dr. Ramadhani Dau unafika zaidi ya Tsh 100 Bilioni.

- Ni mmoja wa wamiliki wa timu ya Newcastle ya Uingereza.

- Kampuni zake pekee ndizo zinazopewa tenda ya kufanya kazi NSSF.

Chanzo: Dira ya Mtanzania - 18 Aprili 2016
Whaaaat?
 
Wewe ndio utumie akili, umeleta picha ya bwanyenye la kizungu na unatuambia anamiliki kwa 100% hiyo ni wajibu wako kuthibitisha with vivid evidence.

Kwanza kitu cha kwanza ujuwe Balile amesoma Uingereza, usimchukulie powa kwamba ni reckless editor wa kuruhusu habari nzito kama hiyo kuwa published pasi kuwa na Strong evidence.

Msijipe moyo, malipo yote ni hapahapa duniani, wale wote waliotufanyia dhulma bila kujari dini zao ni lazima washughulikiwe kikamilifu. Hii ni zamu ya Dau sasa.
And yet you hold a tool on your hands which could have helped you to verify the facts for yourself; kaazi kweli kweli.
 
Sasa hii picha ndio inamiliki timu au documents ndio zinaonesha umiliki? Bwashee vipi? Mbona hata mtoto wa Nursery school hawezi kukuelewa.

Weka vivid evidence ili kukanusha habari za Dira, hata Ombeni Sefue alikanusha haya, angalia vizuri hii chain na Dau yumo humu pia.

View attachment 339806
Wewe punguani kweli unabisha mmiliki wa Newcastle siyo Mike Ashley?

Hamna watu wajinga wakuwashikia akili kama watanzania angalia mtu kama huyu kila siku uwa anajifanya mjuaji anaambiwa Dr.Dau ndiyo mmiliki wa Newcastle na yeye anakibali tu.

Teh teh teh !!
 
owner wa newcastle kwa 100% ni Michael James Wallace "Mike" Ashley.
 
huwa nashangaa hii chuki yako inatoka wapi?

mkuu kama ulikuwa nyumba ndogo ya DK sema usaidiwe povu halikusaidii
Nina chuki na majizi yote yanayofirisi nchi ukianza na Chengee, Mkwele na mwanae, Rosti tamu rahaziz, Richmond, Limkono, Singasinga, Escrow and likes.

Shida yenu nyinyi wala ubwabwa mtu akishawanunulia mikeka ya msikitini basi mnadhani ni malaika hata awe na tuhuma gani mnaona anaonewa.

Hivi wewe kiazi umeshaona humu kuna mkristo anayeyatetea majizi Mramba na Yona? Kwa nini msimuache Dau anywe kikombe chake?
Mphweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeew.
 
Wewe usituligie kelele nenda kahemee ugali kwa mama matola huko kimara...

Hawa wapuuz wenzako wanaokuvutisha shisha na kukujaza ujinga eti Dau anaweza kuwa mmiliki wa Newcastle waambie watoe pumba nyingine...

Na pumba kama hizi mtaziamin watoto wa mama kama nyinyi...

Hivyo wewe ukiachilia mbali kaz ya kuuza kanda za CD za bongo movies kipi kingine unachojua we mla gomba?
Wee Mmakonde, Dau ana hisa hata ikiwa moja na si kwamba anamiliki kwa 100%!!!
 
Wewe kiazi hata ukiwa na hisa 1% wewe ni sehemu ya wamiliki, mnapoambiwa mwende shule hamuelewi mnakimbilia madrasat sasa haya mambo utayaelewa kwa kusoma ile miherufi ya kutoka kulia kwenda kushoto?
ungewajua wenye hisa katika club hiyo nadhani usingejivua nguo hapa.. lakini nilichogundua ni kwamba ulikuwa nyumba ndogo ya Dk ndio maana unajivua nguo Hadharani. jitafutie vya kwako ili siku nyingine ukiachwa usitafute pakutokea
 
Nyamaza wewe mammalia wanaume wamchambue huyo mfadhili wenu wa madrassa

Hivyo huyu jamaa umachukia hivi kakuchukulia ur beautiful mom nin?

Hebu tuambiane ukweli...utakua unachanganya mambo wewe bint siyo bure..

Wewe mtafute anaekuharibia lkn siyo huyo...

Huyo ni Ustadh Madhubuti na mchamungu nadhan ur mom kuna mwingine anarekebisha siyo huyo...

We tuliza akili tuh utamjua na ukimjua ruksa kuhamishia hizo hasira zako..sawa bint?
 
Kwani haturuhusiwi kuwa matajiri?
Tunaruhusiwa!! namshangaa mtoa mada ameishia juu juu tu, Utajiri wa B100 ni wa kawaida sana hata hafikii robo ya utajiri wa Mengi , tumuombee Dau Mungu amsaidie apate zaidi kama kaupata kihalali lakini
 
Utajiri wa aliyekuwa Mkurugenzi wa NSSF, Dr. Ramadhani Dau unafika zaidi ya Tsh 100 Bilioni.

- Ni mmoja wa wamiliki wa timu ya Newcastle ya Uingereza.

- Kampuni zake pekee ndizo zinazopewa tenda ya kufanya kazi NSSF.

Chanzo: Dira ya Mtanzania - 18 Aprili 2016
Duh mtamuua mzee wa watu
 
Back
Top Bottom