mdida
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 1,607
- 777
Duh, swali huku hilo, vizuri tupo wengi bila usingizi. Mbaya zaidi hii story ndo imenifanya nikose kabisa usingizi.:beer:
Kwanza nashukuru Mungu kumekucha nikajenge Taifa langu.
Duh, swali huku hilo, vizuri tupo wengi bila usingizi. Mbaya zaidi hii story ndo imenifanya nikose kabisa usingizi.:beer:
Kwanza nashukuru Mungu kumekuja nikajenge Taifa langu.
Yeah, anza kujenga kwanza mwili na mazoezi, ama 😀😀
Tayari nimeshafanya mazoezi mkuu, ahsante kunikumbusha kitu cha msingi sana.
napenda sana nikipewa uroda,je,unaweza kunipa?
Nalog off
Kusema ukweli Mzizi unaenda taratibu sana,embu ongeza kasi kidogo,umpe utamu Madame B,cku hizi wanapenda harakaharaka banana
kkkkkkk haya bi dada niko inLog in afu ndo nikupe.
kkkkk angalia macho yasije kupofuka,inaonesha mwandishi anajiandaa na mambo ya sikukuu.Warudi tena muda gn maana nachungulia kila saa
kkkkk angalia macho yasije kupofuka,inaonesha mwandishi anajiandaa na mambo ya sikukuu.
Nalog off
Toeni donation aendelee kutiririka....Mzizi mkavu tuko wengi umetushika tiririka aiseeee