scatter
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,671
- 943
- Thread starter
- #61
Hapana ndugu usijifiche katika chaka la wazungu au unabii! Utafiti lazima uwe na lengo kuu.., unachotaka kusema ni kwamba utafiti huu ulilenga kubaini kama wanaonunua na kutumia madawa kujikoboa ni wanawake weusi au weupe? Sidhani kama hilo kujua aidha ni weusi au weupe ndio wateja linahitaji utafiti. Jambo lililo wazi.
Kama unahitaji topic utafiti wa namna hiyo labda jaribu ku-modify kidogo na ufanye unaolenga kujua sababu za walio weusi kutumia mkorogo ili wawe weupe. Hoja yangu ni kwamba hakuna mwanamke aliye mweupe anayetafuta mkorogo kwa kuwa hakuna mkorogo wa kumfanya aliye mweupe kuwa mweusi!
Lakini hongera umeonesha nia ya kufanya utafiti
mkuu usisemee mioyo ya watu MADEMU WEUSI WENGINE NI NATURAL ILA KISAIKOLOJIA WAMEATHIRIKA KULIKO WEUPE
WANAWAKE WOTE WANAPENDA MIKOROGO ILA UTAFITI UMEAINISHA KATIKA MIKOA HIYO WATUMIAJI WENGI ni WeUSI