Utafiti:wanawake weusi wanapenda kujikoboa

Utafiti:wanawake weusi wanapenda kujikoboa

tafiti nyingine bana!
sasa mweupe wajikoboe nini?
Kuna mtu atakuja na tafiti hapa "nimegundua wanawake wanazaa"
 
We are missing the point. Sidhani ni wanawake wote weusi, kwa psychology ya haraka check common dinominator ya hao wanawake -kielimu (hata IQ yao), social interactions, exposure....Coz mweupe utataka ajichubue nni already they are light-skinned!
 
tafiti nyingine bana!
sasa mweupe wajikoboe nini?
Kuna mtu atakuja na tafiti hapa "nimegundua wanawake wanazaa"

ndugu huu ni utafiti huru

au umeshayaona haya?
 
ulichotafiti hapo ni nini?
usije nambia umegundua jua linatoka mashariki linazama magharibi

kwani hajaon hizo location hapo juu ambapo tafiti zimefanikiwa? mkuu hali ni mbaya sana
 
funguka mkuu kama sijakuelewa maudhui yako !
Nilikua namaanisha fact ni kua wanawake wanaoJichubua ni weusi ili waonekane weupe "sasa unapokuja kusema kua umefanya utafiti wanawake weusi wanapenda kujikoboa nashindwa kuelewa ni utafiti gani huu!
 
Wakongo unawajua wewe?

wanawake wa bongo (Tanzania) nadhani ndo wanaongoza,ukiwaona akinadada wa Kenya,Uganda na hata Afrika Kusini hawana mpango wa kujichubua kabisa hata awe mweusi ti!,sasa hawa dada zetu haka ka staili cjui walikapata wapi!;
 
Wee, waarabu wanajikoboa hadi basi pamoja na kuwa wana light skin

We are missing the point. Sidhani ni wanawake wote weusi, kwa psychology ya haraka check common dinominator ya hao wanawake -kielimu (hata IQ yao), social interactions, exposure....Coz mweupe utataka ajichubue nni already they are light-skinned!
 
Nilikua namaanisha fact ni kua wanawake wanaoJichubua ni weusi ili waonekane weupe "sasa unapokuja kusema kua umefanya utafiti wanawake weusi wanapenda kujikoboa nashindwa kuelewa ni utafiti gani huu!

ni katika ku utaka huo weupe wengi wanaofanya haya tena wale weusi tii ndio tafiti ilipogundua kuwa kisaikolojia hawaipendi rangi yao
je utafiti umeuelewa ndugu!
 
Back
Top Bottom