assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #81
Gazeti la Rostam Aziz,mkurugenzi wake Hussein Bashe ambaye nd'o mtu wa kati,kati ya Lowassa na Rostam Aziz sasa mnategemea nini hapo? Msitoke povu bure,Lowassa peke yake anaweza kuvinunua hivi vyombo vya maamuzi times and again,na kumbukeni hawa jamaa wamejipanga kivyotevyote tu,shida iliyopo ni kuwa watanzania tumezoea kurubuniwa na ni wachache wanaeeza kuona mbali.Na hata hao wachache wanaoweza kuona mbali wananunulika kuhadaika kirahisi tu,kwa ajili ya matumbo yao wapo tayari hata kushabikia upuuzi kama huu kwa sababu ya kurutubisha tu matumbo yao.
take msg inatosha