chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,013
Hivi vigazeti JF maoni mbona wanayakimbia?
kiloriti,hawara wa Lowassa,amefika. Dogo huyo fisadi aliyekubuhu,hatakuwa Rais wa Tanzania
Mselewa tuliza shanga zako utakata uharibu sebene.We ni kati wachumia tumbo waliobakia,lowassa anakwenda kuwa rais wa nchi hii
Punguza nyege mkuu, we mbona ni fisadi wa mademu au unavyochukua watoto wa mwaka wa kwanza unapowasimamia semina unafikiri unafanya jambo jema.....Huyo fisadi wenu akiangukia pua,mtatafuta mahali pa kuficha sura zenu. Subirini
Teh teh teh! Yaani maongezi yako mkuu ni full burudani.
Sent from my SM-G800H using Tapatalk
Tuambie maoni yako kwa mzinifu kuwa wa pili?
Utatafuta pa kujificha kiloriti
Mkuu humu ndani kuna watu wa ajabu sana, hizo kura zilikuwa online na wananchi ndio wamepiga kura. Na bado watajitambua tu muda sii mrefu...Mselewa tuliza shanga zako utakata uharibu sebene.We ni kati wachumia tumbo waliobakia,lowassa anakwenda kuwa rais wa nchi hii
Rai??? Rostam=Lowasa...
Mselewa tuliza shanga zako utakata uharibu sebene.We ni kati wachumia tumbo waliobakia,lowassa anakwenda kuwa rais wa nchi hii
Humu siyo rahisi kupata representative sample, kwani kuna watu wana I'd zaidi ya 6...Mods, anzisheni uzi sticky tupige kura humu muone huyo lowassa kama atatoboa humu
Safari hii, hii nchi kamwe haitaongozwa na wezi wa mali za umma.
Safari hii, hii nchi kamwe haitaongozwa na wezi wa mali za umma.
ESCROW, Pinda Must Gooooooooooooanaemiliki gazeti la Rai unamjua?? Hapo unategemea nini? Hatudanganyiki aisee. Team yao irudishe fedha za kifisadi za rada, meremeta, Richmond etc
Mtoa rushwa mpokea rushwa mkubwa huyo hafai hata kidogo,Anawanunua wale wanaojiita et watafiti(kumbe ni watafiti uchwara) pia ukifuatilia hata hayo magazeti yanayolipoti tafiti hizi uchwara yanamkono wake