OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Mtoa rushwa mpokea rushwa mkubwa huyo hafai hata kidogo,Anawanunua wale wanaojiita et watafiti(kumbe ni watafiti uchwara) pia ukifuatilia hata hayo magazeti yanayolipoti tafiti hizi uchwara yanamkono wake
Subirini mwakani mtaimba nyimbo zote.nchi hii ilipofikia inamuhitaji lowssa tu hakuna mwingine