Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

Kama ni Ikulu ya hapa Tz, naamini kuwa ni EL mpangaji wetu mpya. Kwa nini? Pesa aliochukua kwa Richmond peke yake, ana uwezo wa kumlipa kila Mtz shs 3.000.000/= kwa malipo tulio mlipa kwa siku moja tu. Alilipwa siku 180. Je akitaka kuingia ikulu kwa kuwapa malipo ya siku mbili kila mtanzania ana hasara gani??
Kama tuliambiwa tutakula nyasi, akisema sasa njooni mchukue vijisenti hivyo si kila mtu atampa kura?? Msinipige mawe jamani, nawaza tuu wala mi si team yake huyo fijisadi. Mola epusha mzigo huu usiiangukie nchi yangu Tanganyika, naipenda mpaka naiota lakini hao wenye meno wanaitafunaaaaa

Mkuu yule fisadi ni hatari
 
Maono yangu, mm ni kjana mdogo lakini pia imetokea kumpenda uyu el lakin anaonewa kwa kupandikizwa mambo ambayo haya mhusu yy tu,moja kwa moja ila yy tu anasemwa. No way out el umeamua kupigana wananchi wakuelewe ila jihadhari na yafuatayo,

1. Your atrisk in ur fighting esp. End of desemba 2014

2. .2015 kuanzia mwez kwanza mpaka wa tatu

3. Utembee na watu,unaowaamini sana

4.,maombi ya mara kwa mara lakin utakavyo amini kujisaidia.

Ukipenda zingatia au utakavyo ona mwnyw


asanteni, my opinion
 
Watanzania wengi wana kumbukumbu fupi ndo mana yake. Hawajifunzi tokana na waliopitia ndani ya miaka kumia. Wenzetu wa Kenya walivyo amua kuitoa KANU, leo wanamaendeleo makubwa. Mambo alio fanya mzee Kibaki nchini kenya, nimakubwa mno. Tutabaki na mafisadi, nakubaki kulala mika. Wapeni uongozi watu na vyama vingine. Huyo mtu milisha muona udhaifu wake, nje akiwa rais atakuaje?
 
Namuunga mikono na miguu Lowassa....hii nchi inataka kiongozi wa aina ya Lowassa....!!!! NDIO PEKEE CCM KWA SASA ANAWEZA INUSURU...!!!

Hakika sakata la Rich Mond na Dowansi limesahaulika pesa zetu ndo zinatumika sasa kwa manufaa yake leo Lowasa anafaa.???????????
Kuna watu wanatumika kama Toilet pepa miongoni mwao ni wewe
 
Sorry mkuu,hivi Pasco wa JF ni kijana kweli?
Mimi humchukulia kama mzee flani hivi
You are right!, mimi ni mzee fulani, sio kijana!, nimeishastaafu kazi ya uandishi wa kulipwa tangu 2002, kwa sasa ni mwandishi mstaafu, nikiendelea kuandika kama mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea!.

Pasco.
 
Mnaomfananisha pinda na lowassa ni sawa na kufananisha kumbikumbi na kunguru pinda hana ubavu kwa lowassa hata kidogo akalime vitunguuuuuu
 
CCM wakimsimamisha Lowassa kugombea urais itarahisi sana kuanguka kwa ccm.
Nawaomba sana ccm msimamisheni Lowassa.

How about Pinda? Unadhani atakuwa mwiba kwa upinzani? Au Chenge au Sitta. Out of these who can save the sinking boat?
 
You are right!, mimi ni mzee fulani, sio kijana!, nimeishastaafu kazi ya uandishi wa kulipwa tangu 2002, kwa sasa ni mwandishi mstaafu, nikiendelea kuandika kama mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea!.

Pasco.

shkamoo
 
Back
Top Bottom