Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

Utafiti mpya: Lowassa aongoza tena mbio za urais

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
utafiti uliochapishwa kwenye gazeti LA RAI la leo unaonyesha mh. Edward Lowassa anaongoza akifuatiwa na Dk. Slaa.
10801679_307799472736924_2319033265139927521_n.jpg
 
kwani hamjui kuwa RAI ni miongoni mwa magazeti ya Lowasa?
 
Huyo fisadi wenu akiangukia pua,mtatafuta mahali pa kuficha sura zenu. Subirini

Atachaguliwa na mke wake siyo watanzania kama anavyodhani wanakaa wanapika utafiti halafu wanapotosha watu.
 
Atachaguliwa na mke wake siyo watanzania kama anavyodhani wanakaa wanapika utafiti halafu wanapotosha watu.

Kwahyo hizo kura zote alizoongoza kweny twaweza amepewa na mke wake??tumia akili kufikir usilipe tumbo nafas ya kufikir
 
CCM wakimsimamisha Lowassa kugombea urais itarahisi sana kuanguka kwa ccm.
Nawaomba sana ccm msimamisheni Lowassa.
 
Mtandao gn ulioendesha hiyo kura ya maoni?

Lowassa ni mjanja sana kama aliweza kumlisha maneno Mkapa eti kahojiwa na CITIZEN TV ya Kenya atashindwa nini kufanya hayo? moja ya maneno ambayo lowassa alimlisha Mkapa ni kuwa " ....Maana Tuhuma Zingine Upuuzi Kweli kweli".
 
ATAKUWA RAIS WA WAPI MTU ALIEFUKUZWA UWAZIRI MKUU KWA UFISADI. kwani watu safi wameisha hadi tuokoteze?

Tuliza maboga dada,wewe umezaliwa kutawaliwa na rais wako 2015 ni Comrade EL
 
Ndani ya CCM hakuna mwingine zaidi ya Lowassa
Namkubali sana huyu Mamvi manake kwa maamuzi ndio mwenyewe hawa wengine ni porojo tu
 
Kama ni Ikulu ya hapa Tz, naamini kuwa ni EL mpangaji wetu mpya. Kwa nini? Pesa aliochukua kwa Richmond peke yake, ana uwezo wa kumlipa kila Mtz shs 3.000.000/= kwa malipo tulio mlipa kwa siku moja tu. Alilipwa siku 180. Je akitaka kuingia ikulu kwa kuwapa malipo ya siku mbili kila mtanzania ana hasara gani??
Kama tuliambiwa tutakula nyasi, akisema sasa njooni mchukue vijisenti hivyo si kila mtu atampa kura?? Msinipige mawe jamani, nawaza tuu wala mi si team yake huyo fijisadi. Mola epusha mzigo huu usiiangukie nchi yangu Tanganyika, naipenda mpaka naiota lakini hao wenye meno wanaitafunaaaaa
 
We mchumia tumbo tulia unyolewe ndevu kwa sime wewe,lowssa bado atawahemea kisogoni sana

Teh teh teh! Yaani maongezi yako mkuu ni full burudani.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Back
Top Bottom