Reptilia
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 823
- 788
duh kwanini tena?TISS shikilia hii mtu 😂
duh kwanini tena?TISS shikilia hii mtu 😂
Haijakatika kabisa ila imegawanyikaHivi ni kweli imekatika katikati? maana sijaelewa
Wale waliombeza maharage ya ukweni warudi hapa waone
Ndege imevunjiaka vipande viwili, wa kwanza kutolewa alikua mtoto, na ajali ya ndege ni ya abiria so jamaa kwa asilimia kubwa alikuwa sahihiWale waliombeza maharage ya ukweni warudi hapa waone
Na mtoto kaponaNdege imevunjiaka vipande viwili, wa kwanza kutolewa alikua mtoto, na ajali ya ndege ni ya abiria so jamaa kwa asilimia kubwa alikuwa sahihi
Sema ajali ulioota ndotoni,na siyo utabiri! Ndoto na utabiri ni vitu viwili tofauti kabisa!!Kiufupi ajali niliyotabiri ndio hii na rangi ya ndege kwenye Logo sio shida coz kuna wakati za kijani na njano nilianza kuziona lakini baadae sijui kwani nikaona rangi nyekudu.Baada ya kumaliza form 6 Benjamini Mkapa HGL nilikuwa nawaza sana Majibu ya Language 1 na 2.iLA NILIJIONA noma sana kuna siku nikaletewa mitihani yangu ya Language 1 na 2 imesahihishwa nikaonyeshwa na maksi nilizopata na baada ya matokeo kutoka nilipata D ambayo ukijumlisha zile maksi nilizoonyeshwa kwenye ndoto ukagawanya kwa 2 lazima GRADE iwe D
Hiyo 1 na 2..., Ni mtu mmoja..Ndoto zilizokamilika
Asalaam aleykum! Habari za asubuhi!Wanabodi leo naendelea kuelezea mfululizo wa ndoto ambazo zinamuhusu kiongozi wetu ambazo tatu zimeshakamilika bado moja ambayo sijui itakamilika lini.Leo ntaelezea moja ambayo imekamilika na ile moja ambayo haijakamilka,wataalamu wenye elimu ya kutafasili...www.jamiiforums.com
Mleta uzi, hapa maono yake yalitimia na mengine yanaendelea kutimia.
JF kuna member wanne sasa wa kua nao makini kila wanachokipost.
1. Tumia Akili (mtu wa system)
2. Tumain El (mtu wa dini dini - sina uhakika na user name yake)
3. Maharage ya ukweni (maono)
4. Yoga (mtu wa system)
Hajasema ameota mkuuSema ajali ulioota ndotoni,na siyo utabiri! Ndoto na utabiri ni vitu viwili tofauti kabisa!!
Mkuu, ndege imekatika vipande viwili. Kwani hujaiona video ya uopoaji wa ndege hiyo?
Imekatika wakati ikiopolewa au ilipopata ajali?Mkuu, ndege imekatika vipande viwili. Kwani hujaiona video ya uopoaji wa ndege hiyo?
tabiri huja kwa ndoto pia kiongozi wangu,Sema ajali ulioota ndotoni,na siyo utabiri! Ndoto na utabiri ni vitu viwili tofauti kabisa!!
Wakati inaenda kuparking...!!Imekatika wakati ikiopolewa au ilipopata ajali?
Baada tu ya kupata ajali, sema ilionekana kawaida kwa kuwa ilikuwa under water upthrust, hata Majariwa mwenyewe kathibitisha hilo. Kitendo cha kunyenyuliwa ndiyo ikaonekana iko totally broken, ila ilivunjikia ziwaniImekatika wakati ikiopolewa au ilipopata ajali?
Kwani so tukio limeshatokea tayari,maana najichanga nataka nipande angalau ndege na Mimi niende kufurahisha machotabiri huja kwa ndoto pia kiongozi wangu,