Hao ndiyo mashekh WAPUMBAVU kina adriz the mbususu na Al-mukheef Jagina Covax FaizaFoxyView attachment 3538370
Ni rahisi sana kucheza na akili ya mwafrika.
Kulingana na imani mbalimbali za kidini na kiroho, roho za marehemu—badala ya miili ya kimwili—zinafikiriwa kuingiliana, kutambuana, na kutembeleana katika maisha ya baada ya kifo au “Barzakh” (muda kati ya kifo na ufufuo). Ingawa miili ya kimwili inasalia katika makaburi yao, mapokeo ya kiroho mara nyingi hushikilia kwamba nafsi zilizoachwa ziko katika ulimwengu mwingine na zinaweza kukutana, wakati baadhi zinaweza kubaki karibu na mahali pa kupumzika.View attachment 3538370
Ni rahisi sana kucheza na akili ya mwafrika.
UongoKulingana na imani mbalimbali za kidini na kiroho, roho za marehemu—badala ya miili ya kimwili—zinafikiriwa kuingiliana, kutambuana, na kutembeleana katika maisha ya baada ya kifo au “Barzakh” (muda kati ya kifo na ufufuo). Ingawa miili ya kimwili inasalia katika makaburi yao, mapokeo ya kiroho mara nyingi hushikilia kwamba nafsi zilizoachwa ziko katika ulimwengu mwingine na zinaweza kukutana, wakati baadhi zinaweza kubaki karibu na mahali pa kupumzika.
Kwa nini Magalatia mnahangaika kujua mambo yasio wahusu ?Hao ndiyo mashekh WAPUMBAVU kina adriz the mbususu na Al-mukheef Jagina Covax FaizaFoxy
Sheikh hajui hata maana ya maiti 😁😁😁 kuna tofauti baina ya maiti na Marehemu bora angesema marehemu huwa wanatembeleana ..kuna watu wamekufa (yaani wamekuwa marehemu) bila ya kuwa na maiti.
Mwaga nondo mkuu, hutaki wengine tuslim, au unataka ukapige zile 72 peke yako?Kwa nini Magalatia mnahangaika kujua mambo yasio wahusu ?
Kama kweli au sio kweli itakusaidia nini wakati ushaukubali ukafiri ?
Sioni haja ya kujadiliana na ignorant Scumbabag Galatians wakati wao hawaoni kheri katika Uislamu na hawataki ukweli bali mabishano na kutaka kukejeli dini , Mimi nishavuka huko kusanya Dujeumsaeng wenzako na mleta mada mjadili na kucheka mkalale.
TUMIA AKILI ...SHEIKH KASEMA MAITI SIYO MAREHEMUKulingana na imani mbalimbali za kidini na kiroho, roho za marehemu—badala ya miili ya kimwili—zinafikiriwa kuingiliana, kutambuana, na kutembeleana katika maisha ya baada ya kifo au “Barzakh” (muda kati ya kifo na ufufuo). Ingawa miili ya kimwili inasalia katika makaburi yao, mapokeo ya kiroho mara nyingi hushikilia kwamba nafsi zilizoachwa ziko katika ulimwengu mwingine na zinaweza kukutana, wakati baadhi zinaweza kubaki karibu na mahali pa kupumzika.