Angalia kama utapokea android 12 (one ui 4)Updates iko sawa iko updated...
Hizi Simu za Fold ungefanya kwanza research kabla ya kununua, review nyimgimza wataalamu na user experience inaonesha sio simu durable zina matatizo ya ajabu ajabuWakuu msaada tutani ,nina changamoto ya kuingia menu kwa simu ya Samsung Galaxy Z ford 2 nimanisha mfano kuingia kwenye tigo pesa au mpesa kwa menu yake , kuunga vifurushi n.k tatizo limeanza ghafla ...View attachment 2024092
Yes Mkuu.Yes , nakubaliana na ww
Nenda Settings > location & privacy > mobile tracker (halafu disable/switch-off hiyo mobile tracker) then run USSD code tena kama imekaa sawa.Wakuu msaada tutani ,nina changamoto ya kuingia menu kwa simu ya Samsung Galaxy Z ford 2 nimanisha mfano kuingia kwenye tigo pesa au mpesa kwa menu yake , kuunga vifurushi n.k tatizo limeanza ghafla ...View attachment 2024092
Inakupa error gani?kwa upande wa tgo pesa app kutofanya kazi kwa baadhi ya samsung galaxy ni nini soln yake ? Chief-Mkwawa
Cheki na mpesa nayo inafanya, jaribu na app ya Amana bank" Simu yako ya mkononi haitumiki
Tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja "
nmejarbu simu ingine ina work lakn samsung s6 app haifunguki
Hao huduma kw watja hawajanipa msaada wowote
Z Ford = Z Fold,Sorry typing error
replay=ReplyHahahahahaha sikutegea replay hii