Usithubutu kuruhusu wafuatao kuwa karibu na mkeo, hatari

Usithubutu kuruhusu wafuatao kuwa karibu na mkeo, hatari

Labda goli tatu ila not a modern proffessional busy woman...labda ungesema mwalimu wa gym, masseur na watu kama hao ila hao uliowamention too low a class kaka...

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums

Inaonyesha umeishi mbali na wanawake. Hata awe na PhD chupi yake anaweza mvulia houseboy. Achana kabisa na hawa viumbe
 
Hahahahahahahaha mmeshawamaliza wivu utawakondosha kwikwikwikwi
 
@Ablessed kuna njemba zina wivu mpaka zinatisha. Nakumbuka hapa kulikuwa na jamaa alianzisha uzi miezi ya nyuma kwamba anataka amwachishe kazi mkewe kwa sababu ana wasiwasi tu wa kugegedwa nje ya ndoa pamoja na kuwa hakukuwa na ushahidi wowote kama mkewe anasaliti ndoa yao. Mke kahenya miaka chungu nzima ya shule ya msingi, sekondari na chuo hadi kapata degree yake moja au mbili ili aweze kuyamudu maisha kwa kujitegemea kama asipopata mume au kumsaidia mumewe katika gharama mbali mbali za maisha. Halafu anakuja kukutana na muoaji ambaye baada ya miaka michache ndani ya ndoa anamtaka aache kazi kisa tu ana wasiwasi wa kugegedwa nje ya ndoa. Kama unataka mke wa kukaa nyumbani si ukaoe wa darasa la saba!?

Wazazi wenye watoto wa kike hakikisheni watoto wenu wa kike wanapata elimu ya kutosha kuweza kumudu gharama za maisha bila kutegemea mume maana kuna baadhi ya wanaume manyanyaso yao yamepitiliza hasa pale mke anapokuwa hana uwezo wowote wa kuishi mwenyewe bila kumtegemea mume. Someni huo uzi hapo chini muone manyanyaso ya kusikitisha.

https://www.jamiiforums.com/mahusia...i-aachane-na-mume-huyu-mnasemaje-bandugu.html

Kazi kweli kweli itabidi mnapokua mmeoa wake zenu muwajengee ukuta mrefu ili ukifunga geti halifunguliwi mpaka ukirudi. Na hao uliowataja wenye fani hizo ni wanaume, sasa unataka kusema nyie hizo ndio zenu eeeh. Wamama mmeona kama mumeo ni fundi basi imekula kwako kumbe wako hivi wenyewe wamejieleza leo. Ushauri wangu kwako wewe ulie na mashaka juu ya mwenzi wako fanya hivi kila uamkapo mkabidhi Mungu mkeo akuchungie maana yeye ndiye mchungaji mwema au nakosea JICHO TAI , BAK , Fixed Point , Heaven on earth , mito , Simplicity
 
Mimi kabla sijaoa, aisee lazima nipate kozi ya hii kitu. Weekend, mama njoo hapa na maji kwenye beseni.
Ukiwakuta wadada, wamama wanavyo tomaswa pale Mwenge jinsi walivyo legea walahi utachoka.

Wanawake wengine wanapiz kabisa, tena mwanamke akizoea mchezo huu haachi.
 
namba moja(1) hawa hawakubaliki toka enzi za Nyerere.
Nalog off
 
ukifanya kosa hilo lazima wale mzigo,kuwa makini epusha mkeo kuzoena na watu hawa.
1fundi cherehani
2 machinga
3 polisi
4 fundi simu
5 wapaka rangi kucha.
hahahaha true mkuu
 
Umesahau watu hatari sana
LOAN OFFICER- MAAFISA MIKOPO WA MABENKI SACCOSS NA MICRO FINANCES KAMA FINCA BAYPORT NK
 
Usisahau pia wanasiasa especially wa magamba..ni hatari sana kwa wake za watu wakitumia kigezo cha viti maalumu...wakiongoza na dhaifu..refer kesi ya babu Seya..
 
Hao wanawake mnaowadharau hivi wanawatoa wapi jamani? Yaanihamwathamini hata kidogo. Duh
ukifanya kosa hilo lazima wale mzigo,kuwa makini epusha mkeo kuzoena na watu hawa.
1fundi cherehani
2 machinga
3 polisi
4 fundi simu
5 wapaka rangi kucha.

6 wachungaji waseja..., hasa akina Komba..., ukimkabidhi hela anazifikisha, Lakini mkeo, lazima...

7.Mafundi selemara
8.Madereva na makonda wa daladala
9.Wauza nyama mabuchani....
10.
 
Back
Top Bottom