ama kweli wakati wa shida ndo utajua nani rafiki wa kweli The secretary werayu?ha haaaaaaaaaaaaa, Bishanga...... waambie wale warembo ulioenda nao kujirusha na kuwafanyia yale mashopping wakusaidie kulipa
Sijui shetani gani alinituma kukopa mabilioni benki,ntakoma mwaka huu,hayalipiki!
unacheka nini? Hela zangu si alikula phina,au hujui?
ama kweli wakati wa shida ndo utajua nani rafiki wa kweli The secretary werayu?
siku hizi kuna kitu kinaitwa 'credit agency',kukopa juu ya mkopo ngumu wanataarifiana.
Za Asubuhi Habib Choklet Wangu?
Nipe basi nipatie pesa nataka nikasuke kama hivi
hela tulipeana in confidence-sasa unawaambia watu wengine?!unaniaibisha bwana!!halafu mi sikujua umekopa benki-tunge jaribu ku-invest sehemu sehemu...
Na we ndo nini kujishongondoa kwa maskini? Come zis way Madame B ujihesabie hela kwa wallet bana. Tabu ya nini na uchumi unao ila unaukalia tu?Za Asubuhi Habib Choklet Wangu?
Nipe basi nipatie pesa nataka nikasuke kama hivi
Na we ndo nini kujishongondoa kwa maskini? Come zis way Madame B ujihesabie hela kwa wallet bana. Tabu ya nini na uchumi unao ila unaukalia tu?Za Asubuhi Habib Choklet Wangu?
Nipe basi nipatie pesa nataka nikasuke kama hivi
kopa voda lol