Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
Usiogope ukubwa wa samaki, ulizia bei.Naogopa,
sio hela za 'moto'hzo?
Akhu.
Usiogope ukubwa wa samaki, ulizia bei.Naogopa,
sio hela za 'moto'hzo?
Akhu.
Usiogope ukubwa wa samaki, ulizia bei.
Sijui shetani gani alinituma kukopa mabilioni benki,ntakoma mwaka huu,hayalipiki!
pole, kwa nini ulikopa pasipokuwa na malengo?
Sasa mpenzi mbona unanigombeza hazalani?
Sijui shetani gani alinituma kukopa mabilioni benki,ntakoma mwaka huu,hayalipiki!
basi unafkiri nimekugombeza??i wish kungekuwa na audio message..nimesema hayo kwa mapenzi yote na sauti ya mahaba kama nilivofundwa kwetu..me and you till the death of me!!Sasa mpenzi mbona unanigombeza hazalani?
Sijui shetani gani alinituma kukopa mabilioni benki,ntakoma mwaka huu,hayalipiki!
mi na wewe The secretary tumefikia hapo? Mapenzi yetu kumbe ni kipindi cha neema tu?poa.ndo maana unafilisika
ndo mana nakupendaga,nannhii ajinyonge tu....hahahahahahabasi unafkiri nimekugombeza??i wish kungekuwa na audio message..nimesema hayo kwa mapenzi yote na sauti ya mahaba kama nilivofundwa kwetu..me and you till the death of me!!
Nyani Ngabu unataka nitoe siri zako alizonieleza nanhii kipindi amekupiga chini? si utahama jamvi wewe?Babu Jinga toka lini akawa na akili?
dah! ngoja nimtafute Kongosho anisindikize maana kwa makulamanzila hashikiki,anazo mpaka za kumfanya mwanaume auze nyumba.Bishanga nenda kwa yule mganga niliyekuelekeza yule mutu ya watu kutoka misitu ya kongo. Yule itamaliza mambo yako yote na makaratasi yote ya deni ya benki yatatoweka kimazingara.
mi na wewe The secretary tumefikia hapo? Mapenzi yetu kumbe ni kipindi cha neema tu?poa.
Nyani Ngabu unataka nitoe siri zako alizonieleza nanhii kipindi amekupiga chini? si utahama jamvi wewe?