Si bora bank wanakukumbusha mwisho wa mwezi! Usiombe ukope ile mia mbili ya tigo! Yaani hata ukiichungulia simu yako tu wanatuma msg ya kukumbusha deni. Ukiangalia salio, ukipigiwa! Wanakuharrass hadi basi! Bora nitume tafadhali nipigie kuliko kukopa tigo, liwalo na liwe
kwani we na rutta hamkulala wote jana?
Badili jina na uchukue passport nyingine uje nikupe mpango mzima. Usijali nitakusaidia ingawa kwenye ile ishu yangu uliweka pamba masikioni. Nyumba na mali zote zisizohamishika badili umiliki. Then sepa uje.
umemgundua eh?
mahesabu,uza nyumba utunze heshima bar!Bishanga bashaija, watu wanakopa wanawekeza mahali, we unakopa kwa ajili ya kwenda kula maraha visiwa vya Hawaiii na yule nanihii , ishakula kwako,
Angalia na lile hummer ulilomnunulia yule nanihii ameshalihonga!
hama inji :israel:
nikopeshe basi kama dola laki tano.