usiombe kudaiwa na benki!

usiombe kudaiwa na benki!

benk ni noma mzee'sitakaa nikope tena benk'siku unakopa wanaongea vizuri'ngoja matatizo yaanze wanakuruka utafikiri hawakujui'benk ni noma sishauri mtu yeyote kukopa benki'niliona daladala moja limeandikwa bora kuamka na njaa kuliko kuamka na madeni
 
hivi mabilioni ya kikwete yaliishiaga wapi kuna mwana jf anaweza kunieleza namna ya kuyapata au ili kuwa mtaji wa mwanae riz1 na manji..
 

Attachments

  • Dar es Salaam-20120630-01475.jpg
    Dar es Salaam-20120630-01475.jpg
    523.5 KB · Views: 91
Za Asubuhi Habib Choklet Wangu?
Nipe basi nipatie pesa nataka nikasuke kama hivi
Asubuhi ni nzuri ma choklet.
wow! Huu msuko nimeupenda sana yan utapendeza sana na uzuri ulio nao we acha tu! Ngoja nikutumie pesa sasa hiv usije uka chelewa!
 
Asubuhi ni nzuri ma choklet.
wow! Huu msuko nimeupenda sana yan utapendeza sana na uzuri ulio nao we acha tu! Ngoja nikutumie pesa sasa hiv usije uka chelewa!

Poa,nitumie ktk ile Tigo Pesa yangu.
 
Hahaaaaa jk ni kama ka fail kila kitu alichokianzisha..hahaaaaa
 
benk ni noma mzee'sitakaa nikope tena benk'siku unakopa wanaongea vizuri'ngoja matatizo yaanze wanakuruka utafikiri hawakujui'benk ni noma sishauri mtu yeyote kukopa benki'niliona daladala moja limeandikwa bora kuamka na njaa kuliko kuamka na madeni
wahenga walisema 'banker ni mtu anayekuazima mwavuli kwenye jua kali mvua ikianza kunyesha anakunyang'anya'.
 
Changanya akili mkuu, mkopo unakupa challenge ktk kuyakabil majukumu. So jipange ulipe deni( dawa ya deni......?)
 
Badili jina na uchukue passport nyingine uje nikupe mpango mzima. Usijali nitakusaidia ingawa kwenye ile ishu yangu uliweka pamba masikioni. Nyumba na mali zote zisizohamishika badili umiliki. Then sepa uje.
 
Kutaka kujenga jina mjini ni balaa! Haya kazi kwenu, naishi niwezavyo, siishi mtakavyo! Maisha ya kubadilisha miji kila kukicha, hayo yako, lol! Pole mwaya bepari letu!
 
Ongea na cacico atakupa ushauri jinsi ya kuwadhulumu yeye ndio mtaalamu ya hiyo mambo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom