Usiogope wanavyomshangilia

Usiogope wanavyomshangilia

........."Kwa mfano anapokuwa kwenye ziara zake humuandaa mtu atakayedanganya kuwa ni mgonjwa alafu anamlilia akiomba msaada kwa Rais na hapo utamuona Idd Amin anaandika cheki hapo hapo na kumpatia akatibiwe kumbe yote ni maigizo"

Wajane kuvamia,wwatu kugaiwa hela hapo kwa hapo baada ya kuelezea madhira yao,kkama si maigizo angeamuru waliotenda kukamatwa na kushikattakiwa
 
Aiseeeeeee.. Na Nina Arosto ya huo "upekeee" sana.
FB_IMG_1461208866935.jpg
0713800880 NAKUSUBIRI NA KAWINE HAHAHAHAHA
 
Yaani ni wazi kabisa wewe bado ni kijana mdogo. Hata huelewi unataka kusema nini.
Unaniona kijana mdogo? Fine! Huenda ni kweli bado mdogo! Ninachotaka kusema ni kwamba Yohana ni Dictator kama Amin.

Ila sasa kwakua nyinyi mmewekewa automation ya kutetea kila kitu huko UVCCM hata hapa umejikuta unaingia kwenye mtego wa kutaka kumtetea Yohana na kulazimisha kwamba Amin hakua Dictator.
 
Unaniona kijana mdogo? Fine! Huenda ni kweli bado mdogo! Ninachotaka kusema ni kwamba Yohana ni Dictator kama Amin.

Ila sasa kwakua nyinyi mmewekewa automation ya kutetea kila kitu huko UVCCM hata hapa umejikuta unaingia kwenye mtego wa kutaka kumtetea Yohana na kulazimisha kwamba Amin hakua Dictator.
Ubavicha wa ufipa umekujaa. Ni kupoteza muda kujadiliana na wewe.
 
Mimi sio bavicha ila nakupa pole maana hayo yaliyoko kwenye huo uzi hapa yapo kwa zaidi ya 80%.
Shida ni kwamba wamekula kiapo cha kutetea kila jambo, hawaruhusiwi kuhoji au kutoa "mawazo huru" kwahiyo hata ukimuelekezaje hawezi kuelewa
 
Back
Top Bottom