Usilie,pole dada uliyataka mwenyewe

Usilie,pole dada uliyataka mwenyewe

Kaka tena ni bora uoe halaf mjenge pamoja ili nyote mjue uchungu wa mlichokitafuta.
Maadam umefunga nae ndoa siku akienda mahakaman mtagawana sawa mpaka vijiko bila kujal ulitafuta mali peke yako.
Suala la nyie kuwa mke na mume na mna watoto ni kabali tosha ya kukukaba 50% kwa 50%
Omba tu Mungh haya ayapitishe mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nimekupata sasa iyo nyumba ya watoto au ya kwangu
 
Huyu kweli aliyataka
Mijitu Kama hii ndo huwa inatutengenezea CV mbaya wanawake wote tuonekane mashetani

Ndoa Ni baraka,ndoa Ni neema jamani
Ukipata mtu wa kukuoa tulia.

Out of Mada:
Huwa namsubiri uyo future husband wangu jaman,atakae nioa...nitatulia tuli nimpende Hadi achanganyikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani wewe dada huwa nikiona comments zako nafurahi sana uko very positive. Kama ndo ulivyo na unayoyaandikaga hapa Mungu awe nawe upate mume mwema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua ameleta ili na wengine tupone kupitia huu ujumbe
Ila nilitaka kujua kama muhusika yupo humu
Huwezi kupona mpaka likukute mwenyewe live ndo huwa inasemwa "Nimejifunza"
 
Back
Top Bottom