Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,512
- 94,648
Mi mkubwa kwako, rekebisha sentensi
Mi mkubwa kwako, rekebisha sentensi
Huwa nakupenda piaJoanah huwa nakupendaa sanaa nikionaa post yako natetemekaa kila mahalaa
Kwako
NJOO BASI PM tafadhaliii tutemekeane na tulegeaneeeeHuwa nakupenda pia
Nikiona posts zako nalegeaaa
NakujaNJOO BASI PM tafadhaliii tutemekeane na tulegeaneeee
Nimekuzidi umri. Trust me
Minus one
Nakusubiriii unilegezeeee mimi mwanaumee wa AR Chugaaaaaa kwa hamuuuuNakuja
Teh soon nitafika
Mwanaume unanata Sana wewe, sijawahi ona wa type yako
Afu siku izi hakuna anayekongoroka, waathirika karibia wote ni mabonge jb bongo movie hafuatiUnaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.
Hakuna mchepuko umejiweka pembeni nadhani umekimbia gharama zilizo ongezeka. Kodi, kuhudumia kila kitu kwa mke b4 alikuwa anapenyeza zile za kumvuta bt matumizi alisi yamemshinda. Tueshimiwe tunaogharamia matumizi ya familia.Mchepuko yupo wapi?
