Usilie,pole dada uliyataka mwenyewe

Usilie,pole dada uliyataka mwenyewe

Unaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.
Nimekuelewa sana!
 
Unaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.
Mkuu...hizi hasira kama umesema hapa ndiyo kidogo basi ukikasirika kwa speed ya 50 km/h hakuna wa kukushika

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Mkuu...hizi hasira kama umesema hapa ndiyo kidogo basi ukikasirika kwa speed ya 50 km/h hakuna wa kukushika

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Hahaaaah, hamna mkuu, ila tu hili jambo limemtokea ndugu yangu kabisa, na huko mtaani yanaendelea kila siku
 
Hahahaha mkuu nimechekaaa
Unaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.

am better here
 
Fanya kama Diamond mwanamke uliyenaye ktk mahusiano hana umiliki hata wa macho kuona ktk mali zako...siku mnaachana ababeba kunguni wake anasepa....shida huwezi kufunga ndoa na mtu kisha ufanye hivi na ndiyo maana nahisi hataki mambo ya ndoa

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
N
NA wanaume wachepukaji pia inawahusu
Uchepukaji wetu sisi ukiushuhudi unatia simanzi zaidi..mara nyingi unakuta mkeo anamzidi kila kitu mchepuko..aah ndo hivyo mi c mambo zangu sizizungumzii ki viile.
 
Dada kaolewa kwa ndoa, maisha yanaendelea na matatizo na furaha ni sehemu ya maisha kapata mchepuko akaanza kubadilika na dharau kwa mme, atimae kaamua mwenyewe kuomba talaka kwa kutegemea mali ataachiwa kwa sababu anawatoto na mme wake.

Mahakama ilikubali talaka ila mali kwa wagawane, nyumba ikauzwa sasa mke kapoteza mali na mme anazurura maskini watoto wanaangaika kwa ujinga wa mama yao
Huyu kweli aliyataka
Mijitu Kama hii ndo huwa inatutengenezea CV mbaya wanawake wote tuonekane mashetani

Ndoa Ni baraka,ndoa Ni neema jamani
Ukipata mtu wa kukuoa tulia.

Out of Mada:
Huwa namsubiri uyo future husband wangu jaman,atakae nioa...nitatulia tuli nimpende Hadi achanganyikiwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.
Haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada kaolewa kwa ndoa, maisha yanaendelea na matatizo na furaha ni sehemu ya maisha kapata mchepuko akaanza kubadilika na dharau kwa mme, atimae kaamua mwenyewe kuomba talaka kwa kutegemea mali ataachiwa kwa sababu anawatoto na mme wake.

Mahakama ilikubali talaka ila mali kwa wagawane, nyumba ikauzwa sasa mke kapoteza mali na mme anazurura maskini watoto wanaangaika kwa ujinga wa mama yao
Mfano nikijenga nyumba halafu baadae nikaja kuoa , hapa kisheria nyumba itahesabika ni yangu peke yangu au yetu sote (mume na mke)?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom