Usilie,pole dada uliyataka mwenyewe

Usilie,pole dada uliyataka mwenyewe

Kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mwanamke ktk uchepukaji. Mwanaume huchepuka kutimiza haja zake muda na kamwe haondoki na akili zake zote, kama ana mke atabaki kumheshimu na kumpenda kama kawaida. SASA kwa mwanamke akichepuka anajibeba mzima mzima na akili zake na upendo wake...kifuatacho ndani ya ndoa ni dharau, matusi n kelele zisizo na maana yeyote ile!

Hata zama za kale ktk maandiko mwanaume alioa mwanamke zaidi ya mmoja, ila haijawahi tokea mwanamke akolewa na wawili kwa wakati mmoja.

Ktk maandiko wanawake waliokuwa na uhusiano na zaidi ya mume mmoja wanajulikana kama MAKAHABA.

Sasa wewe mwanadada unayechepuka na una mume wako wa ndoa, tukuiteje zaidi ya Kahaba?
 
Dada kaolewa kwa ndoa, maisha yanaendelea na matatizo na furaha ni sehemu ya maisha kapata mchepuko akaanza kubadilika na dharau kwa mme, atimae kaamua mwenyewe kuomba talaka kwa kutegemea mali ataachiwa kwa sababu anawatoto na mme wake.

Mahakama ilikubali talaka ila mali kwa wagawane, nyumba ikauzwa sasa mke kapoteza mali na mme anazurura maskini watoto wanaangaika kwa ujinga wa mama yao
Mwanamke mpumbavu ataibomoa nyumba yake mwenyewe kwa mikono yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada kaolewa kwa ndoa, maisha yanaendelea na matatizo na furaha ni sehemu ya maisha kapata mchepuko akaanza kubadilika na dharau kwa mme, atimae kaamua mwenyewe kuomba talaka kwa kutegemea mali ataachiwa kwa sababu anawatoto na mme wake.

Mahakama ilikubali talaka ila mali kwa wagawane, nyumba ikauzwa sasa mke kapoteza mali na mme anazurura maskini watoto wanaangaika kwa ujinga wa mama yao
sukuma ndani huyo mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.
kwa iyo kila mchepuko una ukimwi!!?, mbona mnatukosea heshima sisi michepuko bhana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaacha mzazi mwenzio, unamzingua, unamfelisha, mnaachana unaenda kuishi kwa mchepuko na mali ulizompora mshkaji, mchepuko anazitumia, zinaisha anakufukuza na anakuachia na ka UKIMWI, unarudi kuwasumbua ndugu ama wazazi, unajisikia aibu hata kuhudhulia hospital, unadhoofu, ukipita mtaani kila mtu anakusema vibaya wewe, umalaya wako unakuwa silaha kali dhidi yako, unadhoofu, unatia huruma, Mungu anakuweka hufi wala nini, yaani unakongoroka unakuwa Kama kasa, unahara kama kinda la bata mzinga, baadae sana ndo unakumbuka kwenda kanisani wakakuombee....shenzi kabisa......nimeandika haya kwa hasira kidogo.
Umeandika kwa hasira ila yana ujumbe wa mhimu sana wanawake wajifunze uchepukaji siyo dili zaidi ni kujiharibia maisha tu.
Wanawake wachepukaji badiliken

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tofauti kubwa kati ya mwanaume na mwanamke ktk uchepukaji. Mwanaume huchepuka kutimiza haja zake muda na kamwe haondoki na akili zake zote, kama ana mke atabaki kumheshimu na kumpenda kama kawaida. SASA kwa mwanamke akichepuka anajibeba mzima mzima na akili zake na upendo wake...kifuatacho ndani ya ndoa ni dharau, matusi n kelele zisizo na maana yeyote ile!

Hata zama za kale ktk maandiko mwanaume alioa mwanamke zaidi ya mmoja, ila haijawahi tokea mwanamke akolewa na wawili kwa wakati mmoja.

Ktk maandiko wanawake waliokuwa na uhusiano na zaidi ya mume mmoja wanajulikana kama MAKAHABA.

Sasa wewe mwanadada unayechepuka na una mume wako wa ndoa, tukuiteje zaidi ya Kahaba?
upo nje ya key ya mtoa mada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu ndio maana mimi nataka nijenge tu walau chumba kimoja halafu ndio nioe lakini sio kuoa halafu mjenge wote then alete upumbavu no.
 
Kwa wanaume,mke wa kuoa usiangalie kwa sura au shepu;ni bora utafute shapeless atakayekuheshimu na kukupunguzia majanga ya namna hii.
 
Wakuu ndio maana mimi nataka nijenge tu walau chumba kimoja halafu ndio nioe lakini sio kuoa halafu mjenge wote then alete upumbavu no.
Kaka tena ni bora uoe halaf mjenge pamoja ili nyote mjue uchungu wa mlichokitafuta.
Maadam umefunga nae ndoa siku akienda mahakaman mtagawana sawa mpaka vijiko bila kujal ulitafuta mali peke yako.
Suala la nyie kuwa mke na mume na mna watoto ni kabali tosha ya kukukaba 50% kwa 50%
Omba tu Mungh haya ayapitishe mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom