ZirlovimovicZirkov
Senior Member
- Sep 3, 2025
- 137
- 227
Yupo humble but very stubborn 😂😂😂. Utanicheck nikuconnect nae.Nipe huyo mdogo wako nikae nae kwa one week 😅 akirudi atakua poa sana
Shukran sana mkuu karibu tena 😊
Yupo humble but very stubborn 😂😂😂. Utanicheck nikuconnect nae.Nipe huyo mdogo wako nikae nae kwa one week 😅 akirudi atakua poa sana
Shukran sana mkuu karibu tena 😊
Amen...Methali 23:7 inasema: "Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo."
Pia imeandikwa katika Hesabu 13:33
"Kisha huko tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki, waliotoka kwa hao Wanefili; tukajiona nafsi zetu kuwa kama mapanzi, nao ndivyo walivyotutazama."
Mtazamo na mawazo unayoyahifadhi moyoni mwako ndiyo yanayotengeneza uhalisia wa maisha yako na jinsi unavyojiweka mbele za watu au kukabiliana na changamoto.
Ni jinsia gani kwanza 😅😅Yupo humble but very stubborn 😂😂😂. Utanicheck nikuconnect nae.
Una miaka mi ngapi ?Mkuu kuna watu, wananiitaga dogo! njoo...
Indeed! Hua najiona great thinker! Japokuwa age ndio inanifanya nionekane little boy Ila ukubwa ni mindset!!!
Me.Ni jinsia gani kwanza 😅😅
Nimesha kujibu mkuu!Una miaka mi ngapi ?
Hata mimi pia nakuchukulia kama dogo fulani hivi
Aisee !!Hasa sisi wanawake, huna haja ya kujiona wa kawaida
Na hii si kiburi wala jeuri ni moja ya njia za kujiwekea kiwango na mipaka ambayo si kila mtu anaweza kuvuka
Yeah 🔥🔥Aisee !!
Sijaona mbonaNimesha kujibu mkuu!
Umri wake?
Utakuwa umesahau, kuna thread nili reply! Ukanambia wewe ni makamo fulani hivi.....Sijaona mbona
Yes nina miaka 40+ 😆Utakuwa umesahau, kuna thread nili reply! Ukanambia wewe ni makamo fulani hivi.....
Nikicheki tu avatar inajieleza, hiyo avatar yangu ndiyo ina reflect -20Yes nina miaka 40+
Wewe je kijana
Under 25Umri wake
Ohooo sawa kijana mdogoNikicheki tu avatar inajieleza, hiyo avatar yangu ndiyo ina reflect -20
Huyo sasa balehe inachangiaUnder 25
Hapana namtetea kwa hilo ameshavuka salama , He's family genius sema shule ndio ilimuharibu.Huyo sasa balehe inachangia
Mlete nimnyooshe 😅
Kweli damu nzito kuliko majiHapana namtetea kwa hilo ameshavuka salama , He's family genius sema shule ndio ilimuharibu.
Aliwahishwa kwenda shule, alafu shule za bweni akalelewa kama broiler so he knows much the things of been studying.
I would like him to accept new challenge.
Kweli damu nzito sana,Kweli damu nzito kuliko maji
Haya endelea kumjenga taratibu
Siku ataelewa tu