Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,764
- 13,815
Wasalaam,
Zile mbilinge mbilinge, sarakasi na maigizo ya kuwachomoa wakina Maharage Chande na kina "kipara", matamko yasiyo kwisha na sababu lukuki zisizo za msingi za kukosekana kwa umeme wa uwakika katika nchi yetu ya "tanzagiza" yamefika ukingoni baada ya ahadi ya "mama Abduli" ya kumaliza kero ya umeme ifikapo tarehe 16 February 2024.
Ikiwa ni tarehe 15 ya February ni takribani masaa pungufu ya 24 kufikia tarehe 16, Je tutegemee ngonjera za kila siku na sababu zisizo na kichwa wala miguu au tujipe matumaini ya kuiona nchi ya ahadi?
USIKU WA DENI HAUKAWII KUKUCHA!
Wasalaam.
Zile mbilinge mbilinge, sarakasi na maigizo ya kuwachomoa wakina Maharage Chande na kina "kipara", matamko yasiyo kwisha na sababu lukuki zisizo za msingi za kukosekana kwa umeme wa uwakika katika nchi yetu ya "tanzagiza" yamefika ukingoni baada ya ahadi ya "mama Abduli" ya kumaliza kero ya umeme ifikapo tarehe 16 February 2024.
Ikiwa ni tarehe 15 ya February ni takribani masaa pungufu ya 24 kufikia tarehe 16, Je tutegemee ngonjera za kila siku na sababu zisizo na kichwa wala miguu au tujipe matumaini ya kuiona nchi ya ahadi?
USIKU WA DENI HAUKAWII KUKUCHA!
Wasalaam.