Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,563
- 2,612
hahahahahhhahahaha, so you be doing a fever right? Haya bhana. Niko nadefend kabila la mtu nimpendae na kumuheshim zaid ya wote.
Your Mom! Huh?
hahahahahhhahahaha, so you be doing a fever right? Haya bhana. Niko nadefend kabila la mtu nimpendae na kumuheshim zaid ya wote.
yap yapYour Mom! Huh?
kulikuwa na jirani yetu mrangi kajifungua mto o wa mwanaume mwengine anaelea mtoto mwengine na short time mchana mtu mwingine ni hatari kama picha la kihindi
Bora yule binti wa kirangi alinikataa, mwenyewe nilikuwa nataka kutangaza ndoa kabisa.Ni kweli... Mie nimegegeda warangi 21 ndani ya week, huko kondoa... Mrangi akikukataa kajinyonge tu!
Ni maji mara moja...
Ukiona umeoa mrangi, wakaanza kuja ndg zake wengi... Wakaanza kuongea kiluga.. Ujue sio ndg zake..
Au anambusu mamba shavuni,,,,,,,,,,hao watu sina hamu nao kabisa.mmmmmh,mdau hapo unaenda kuingiza kichwa kwenye mzinga wa nyuki
Kiukweli tu wanawake wa kaskazini wanapenda sana umalaya...
Habarini za usiku wanaJF,kwa kweli nimefika hapa kuwahabarisha wanaume wenzangu,katika maisha yetu tusifikirie kuoa msichana wa kirangi maana hata umpe kila kitu na umgegede vipi mwisho wa siku atakusaliti tu,tena siyo na mtu mmoja,ukiweza tu kuingia nae chumbani msichana wa kirangi basi umeshamgegeda labda ushindwe wewe,yamenikuta jamani,sitaki yamkute mwanaume mwenzangu maana kugongewa inauma sana,
Mkuu Rogie maadili namaanisha alikuwa akijifanya kuwa na mwenendo mzuri, ibada sana, adabu nyingi si mzururaji na wanaume ndio huwez fikiri kama anao. Awali nilibisha sana kuwa hiyo ni tabia ya mtu lakini nikaja kugundua hata kabila pia coz hata dada zake nilivyokuja kwafahamu nao ni walele tu
Basi polesijaoa dada enheee unaongea tu kufurahisha jamii au?i have evidence ya tabia ya hawa warangi,,usikurupuke tu kama haujui
Kiukweli hata mm nlikutana na demu fulani hivi wa kirangi, yani nmekutana nae, kesho yake akaja nyumbani siku hiyoyo nikamgonga. Baada ya mwezi hivi nikawa naona kila mara kasimama na jamaa nikimuuliza ananiambia kakaake, lkn kwa kuwa sisi wanaume tumejaaliwa akili za ziada na Mwenyez Mungu, nikagundua tu kuwa yule ni jamaa yake, kilicho fuata nikasikia anaolewa, na muoaji ni yule jamaa niliye ambiwa ni kaka,tena ni kajamaa coz kalikuwa kadogo. Ile ndoa haijachukua hata mwaka demu kasharudi nyumbani na chanzo cha kuachana sijajua. Sitaki kuamin kama warangi wote wako hivyo lkn huo ndo mfano wangu na mm kwa leo..!
Kwa hiyo mama zetu wa kirangi waliolewa kwa bahati mbaya?
Je unataka nimshauri baba yangu amuache mama yangu kwa sababu zako za kipuuzi?
Mnaogongewa mnakuwa na shida na mapungufu mengi...lawama nyingine ni za kijinga tu.
Una mlaumu dada wa watu bila kujielezea kasoro zako kwake-very bias.
Unapogongewa,hiyo ni ishara wazi hautoshelezi haja,jitazame na IKIWEZEKANA MFUATE ALIYEKUGONGEA MJADILI TU KWA AMANI NA AKUPE MAUJANJA UNAYO-KOSA mpaka mwenzi wako akatoka...vinginevyo utaumia hadi siku unafukiwa chini.
Naomba kukusalimia.....
Mkuu, mimi namuunga mkono..mrangi na mbulu majanga..hawana NO, hatari sana kwa maisha ya ndoa.yaani umekuja na conclusion kwa kutumia sample ya rafiki yako tu
Mkuu mrangi kakukataa? nadhani unatania tu, hiyo haipo kwaoBora yule binti wa kirangi alinikataa, mwenyewe nilikuwa nataka kutangaza ndoa kabisa.
mie bukheri sijui ww!!Naomba kukusalimia.....
Haya maneno walisemega wazee wazamaniiii ukiwa mjanjaaa kuchapiwa ni siri ya ndaniii.... masikini roho yangu roho yangu... ala!Habarini za usiku wanaJF,kwa kweli nimefika hapa kuwahabarisha wanaume wenzangu,katika maisha yetu tusifikirie kuoa msichana wa kirangi maana hata umpe kila kitu na umgegede vipi mwisho wa siku atakusaliti tu,tena siyo na mtu mmoja,ukiweza tu kuingia nae chumbani msichana wa kirangi basi umeshamgegeda labda ushindwe wewe,yamenikuta jamani,sitaki yamkute mwanaume mwenzangu maana kugongewa inauma sana,