Usifikirie kuoa mrangi hata siku moja!

Usifikirie kuoa mrangi hata siku moja!

Status
Not open for further replies.
Kwa hiyo mama zetu wa kirangi waliolewa kwa bahati mbaya?

Je unataka nimshauri baba yangu amuache mama yangu kwa sababu zako za kipuuzi?

Mnaogongewa mnakuwa na shida na mapungufu mengi...lawama nyingine ni za kijinga tu.



Unaongea kujifurahisha,,hata wanaume wa kirangi wenyewe wanawataadharisha watu wengine,,
Una mlaumu dada wa watu bila kujielezea kasoro zako kwake-very bias.

Unapogongewa,hiyo ni ishara wazi hautoshelezi haja,jitazame na IKIWEZEKANA MFUATE ALIYEKUGONGEA MJADILI TU KWA AMANI NA AKUPE MAUJANJA UNAYO-KOSA mpaka mwenzi wako akatoka...vinginevyo utaumia hadi siku unafukiwa chini.


unaongea tu,,mtu kagongwa na watu zaidi ya kumi ,,ina maana wote walikuwa hawamfikishi,,hauwajui warangi wewe
 
unaongea tu,,mtu kagongwa na watu zaidi ya kumi ,,ina maana wote walikuwa hawamfikishi,,hauwajui warangi wewe
Naongea kukujuza kuwa hayo yakutokeayo yaweza kukutokea kwa dada wa kabila lolote,hata makabila yasifiwayo kwa utulivu katika ndoa.

Jifunze kutokuwa shujaa wa maumivi kwa kungoja kudanganywa kwa mara 10+.

Na pia usijumuishe watu wote kwa makosa ya mpuuzi mmoja.
 
Mimi niliwai kuwa na girlfriend wa kirangi na nilikuwa niko nae resi ata barua nilishatoa mwisho wasiku nikagungua nyumba niliopanga wanaume wote wamegonga mtaani ndo usiseme kuoa mrangi nisawa na kuingiza kichwa cha mboo kwny mzinga wa nyuki
 
Mimi niliwai kuwa na girlfriend wa kirangi na nilikuwa niko nae resi ata barua nilishatoa mwisho wasiku nikagungua nyumba niliopanga wanaume wote wamegonga mtaani ndo usiseme kuoa mrangi nisawa na kuingiza kichwa cha mboo kwny mzinga wa nyuki

Ha ha ha haaaah!! Pole mkuu kwa yaliyokukuta.
 
Habarini za usiku wanaJF,kwa kweli nimefika hapa kuwahabarisha wanaume wenzangu,katika maisha yetu tusifikirie kuoa msichana wa kirangi maana hata umpe kila kitu na umgegede vipi mwisho wa siku atakusaliti tu,tena siyo na mtu mmoja,ukiweza tu kuingia nae chumbani msichana wa kirangi basi umeshamgegeda labda ushindwe wewe,yamenikuta jamani,sitaki yamkute mwanaume mwenzangu maana kugongewa inauma sana,

Kweli kabisa!
Nilikuwa nae mmoja, ameumbika hadi msisimko! Tatizo lake anapenda kujitongozesha, mwisho wa siku nilijiweka pembeni bila kushurutishwa!
 
Tulivyokua viajana kulikua kuna kausemi eti mrangi au mbulu akikukataa basi wewe hautakubaliwa na msichana yeyote, Hao wana standards za chini sana kwa kuchagua wanaume..Pole sana mkuu

Aisee inabidi nirudi kutambika kule kwa babu Katabi maana huu ni mkosi.
 
Aisee inabidi nirudi kutambika kule kwa babu Katabi maana huu ni mkosi.
Hapana mkuu, inadili utafiti kidogo, inawezekana huyo binti akili yake haikua timamu...Kwanini akatae fursa?
 
iyo line yote hapo kati usijaribu utapata karaha ya maisha,,,,, hapo singida hawafai cjui warangi, wanyaturu hata anayejiheshimu vipi hawajui kusema NO hata kama wameolewa na wanawatoto kadhaa, ukikataliwa kaka kanywe kikombe cha babu samunge!!!
 
Hapana mkuu, inadili utafiti kidogo, inawezekana huyo binti akili yake haikua timamu...Kwanini akatae fursa?

Hahahaaah,,,,,,,,eti kakataa fursa, sina haja ya kutafiti tena maana wadau wanavyomwagika humu hata sina haja naye tena.
 
Hahahaaah,,,,,,,,eti kakataa fursa, sina haja ya kutafiti tena maana wadau wanavyomwagika humu hata sina haja naye tena.
Na ukichukulia kauli mbiu yako ya KUBAKI NJIA KUU...nadhani atarudi analia
 
Na ukichukulia kauli mbiu yako ya KUBAKI NJIA KUU...nadhani atarudi analia

Hahahaah,,,,,ndio hivyo, nikitaka nimfuatilie nadhani nitapata sifa zake kama hizi wadau wanazotoa hapa kwa watu wa huko. Bora tu nimpotezee.
 
Haya ndio makabila yetu tz na utani wao/usije amini kauli ya barmaid akikwambia umalaya ni tabia ya mtu na yeye sie POLE SANA mkuu.

Unapomtaka/kutana na Mnyaki: ukimtongoza atakujibu hivi kwa rafudhi yao.."Mpaka niseme haya?!! haya hayaagaa wee! (yaani kaonganisha na kukubali hapo hayaga wee), Akikubali ukitaka mpeleka kwa getto ukamgegede atajibu hivi "mpaka kuchumbani, hee hunaga shida wee," ( yaani anataka hapo hapo ulipokutananae), haya mkafika chumban/getto atavua nguo zoote isipokuwa chupi yake tu...ukijaribu muuliza mbona hiyo utoi...atakwambia hivi "mpaka kyupi (chupi) kyangu (yangu) nifuage (niviue) mwenyewe ili unionage maalaya?! unifuage wee"

Haya tusogee kidogo hapo Iringa kwa wanyaru. Hapa nafikiri kila mtu anamesha wahisikia ya kwao...kwa rafudhi ya kikwao
"we niangusage tu, sambi (dhambi) si unapatage mwenyewe"

Na hii ya mbulu mbulu aka barabara ya vumbi ukutane na koku na jinesi (coke & Geuness) ndio kilevi chao watoto wa kimbulu wa huko...ukiwa katika harakati za kumgegeda atasema hivi kwa kwa rafudhi yao, "sasa ndio mapenzi gani ya kulambana lambana kama mbwa kama unafanya si ufanye mimi niende"...kissing/romace kwa ni hakunaga

Haya sijui wengine...huenda zikawa ni inborn charactors kwa wengine, kwani ilinikuta kwa mdada wa kinyeramba enzi hizo naenda na mkuta anagegedwa aisee daa laivu yaani daa, mhaya pia alinitenda pia..basi ndio....leo nimestiki kwa ndoa na mtanzania mmoja ...maisha raaha mustarehe...inagwa nimejifunza MARRIAGE IS LIFE LEARNING PROCESS still nipo class najifunza so karibuni darasani/katika ndoa...

Na wenigne husemaje?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom