Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,446
- 5,461
Kabila ambalo limebaki bila scandal ni Wasukuma tu. Ngoja niende Shinyanga.
Ooooh! mama yangu unajidanganya mkuu kama unataka kuoa msukuma nenda mwanza. Wanyantuzu wana sifa za kifedhuri baraaa!
Usishangae ipo siku atakuachia kichanga/watoto ndani na yeye kutoloshwa. Wanazuzuka na hela hao na niwepesi kurubuniwa kwasababu ya ushamba wao.
Mimi ni asili yangu huko na kama unataka kuelezewa vijitabia vya dadazetu kanda ya ziwa basi kwangu umefika.
Kwa taarifa tu ni kwamba wajita na wakerewe tabia zao hazipishani na wazigua!