Meljons
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 3,105
- 1,409
Warangi siyo watu wa Singida mkuu, wale ni wa Dodoma. ila hata singida kuna kabila linaitwa WANYATURU, hawa watu ni balaa. Wana tabia zinazofanana na Warangi kama alivyoeleza mleta mada na pia wanapenda kuendesha wanaume, ushirikina na ni wajeuri, kiburi, dharau na kujisikia SIJAPATA kuona. Yamenikuta hayo ndiyo maana nasema na baada ya kunikuta nikaanza kufuatilia, nikagundua wengi sana wanalalamika kuhusu hilo kabila na warangi pia
hapa umesema ukweli mtupu kuhusu wanyaturu