Usifikirie kuoa mrangi hata siku moja!

Usifikirie kuoa mrangi hata siku moja!

Status
Not open for further replies.
Lakini wana sifa ya uzuri wa umbo na rangi na nywele ndefu! Inaeza kuwa sababu
 
yameshanikuta kwa kutaka kuoa mtoto wa kirangi. Mrembo full maadili swala 5 lakn wapiii..jasiri haachi asili. Nilivyokuja kujua nilimshushia hasira za kijita hadi leo tukikutana hamna salamu. niliambiwa nikabisha ila nikaja kujionea mwenyewe.
 
Ukiambiwa huyu kijana aliyekuja kututembelea ni binamu yangu wa kayii na ukakubali ujue umekwisha.
 
Huu uzi kama una mpenzi mrangi presha juu. Ngoja tujipe moyo


Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
 
yameshanikuta kwa kutaka kuoa mtoto wa kirangi. Mrembo full maadili swala 5 lakn wapiii..jasiri haachi asili. Nilivyokuja kujua nilimshushia hasira za kijita hadi leo tukikutana hamna salamu. niliambiwa nikabisha ila nikaja kujionea mwenyewe.

Mkuu maadili yepi unayozungumzia kama aliweza kutembea na mtu mwingine?


Sent from my iPad using JamiiForums mobile app
 
mada nyengine zinakera jamani, kwa nini muanze kusema kabila za watu? Mara sijua watoto walolelewa na mzazi mmoja, tatizo nini? Wewe mtoa mada taja kabila lako tuanze kukuchambua sifa zako mbaya. Wabaya wapo na wazuri wapo so ts simple tu kama umekutana na mbaya achana nae na saka mwengine na siyo kuchafua kabila za watu

Tuliza munkari Bibie....wewe hata kama ni mrangi ntakuoa
 
kulikuwa na jirani yetu mrangi kajifungua mto o wa mwanaume mwengine anaelea mtoto mwengine na short time mchana mtu mwingine ni hatari kama picha la kihindi
 
Mijitu mizima hovyooo,we mleta mada kama unachukua wa kona bar usijumuishe kabila Zima,na hakuna kabila lisilopenda mboo na k,umalaya ni tabia ya mtu na c kabila,mtuwache tupumue,,warangi warangi nyooooh,mungu kutujalia mvuto imekua tabu,acheni ukabila

Naomba kukusalimia.....
 
Naomba kukusalimia.....

ahaaaa utakuwa mrangi ww,,ungejua wala usingeandika ulichoandika,,nadhani hauwajui warangi vizuri,,,ningekupa story ya huyu mtoto na hata wanaomfahamu hawaamini kama kawa hivi,,
 
ahaaaa utakuwa mrangi ww,,ungejua wala usingeandika ulichoandika,,nadhani hauwajui warangi vizuri,,,ningekupa story ya huyu mtoto na hata wanaomfahamu hawaamini kama kawa hivi,,

Mi mchagga kaka ila sitochagua kuoa muda ukifika asee...sababu mke bora hutoka kwa bwana
 
Mkuu maadili yepi unayozungumzia kama aliweza kutembea na mtu mwingine?


Sent from my iPad using JamiiForums mobile app

watu wanawatetea hawa warangi ila hawawajui vizuri,,mwenyewe nilibishana sana na washikaji nikasema siyo warangi wote jamani,,kilichonitokea ni balaaaa,,alafu hana sababu ya kugongwa,,
 
Nikiri warangi wote ninao wafahamu hawana kirambasi hiko.....ila sijampinga mtoa mada
 
Tuliza munkari Bibie....wewe hata kama ni mrangi ntakuoa
hahahahahhhahahaha, so you be doing a fever right? Haya bhana. Niko nadefend kabila la mtu nimpendae na kumuheshim zaid ya wote.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom