system hacker
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 426
- 706
Cheti kikubwa kuliko chote ni cheti cha F.4 hiki wengi hawajui. Kimsingi cheti cha F.6 hakina ishu kabisa labda kwa wale wanaopenda mambo ya afya zaidi maana hiki cheti kina matter sana huko.
Hakikisha F.4 unakung'uta Div 1 kali ajabu somewhere around point 7, 8, 9 na kuishia 14.
Then, nenda chuo anza a professional life; yaani anzia Diploma ya ndoto zako miaka miwili hapa.
Kikawaida, kukamulia Diploma huwa ni nyepesi sana ku score Grade nzuri (ceteris peribus) yaani First Class.
Then, endelea na Degree yako miaka 3 na kuendelea...kaamua pia ukiweza ila cha muhimu usikose upper second.
Hapo shule imeisha. Tunaenda mtaani kusaka ajira.
======
Tupo mtaani. Ajira zinatangazwa na Diploma....unaingiza Team gamba la Degree unaliweka mafichoni.
Shortlist inaanza.....trust me huwezi kukosekana. Why? Cheti chako cha F.4 ni kizuri mno kitakubeba. Ujue wengi wanaopenda kuunga unga vi certificate na vi diploma ni wale ambao F.4 walizingua hivyo ww unaibuka na kupitia katikati yao.....are you getting the logic?
Interview umeitwa.....unapiga interview kwa exposure za ki degree maana kimsingi ni kweli una degree. Trust me unashinda na unaajiriwa.....mbeleni huko unapenyeza gamba rasmi kuendana na utamaduni wa eneo lako la kazi...hii sio dhambi.
Nikusaidie kukumbusha....graduates mtaani ni 'saturated' tunaweza kusema hivyo ki kemia.
Part two......
Mtu aliyeanzia mazaga yake Diploma akiwa mzima kichwani ana nafasi nzuri zaidi ya kukamua jiwe (Degree) bila kutaabika sana.
Mtu aliyeanzia Dip pia ana uwezo mkubwa wa kuwa na exposure ya madude yake kwa kuwa alianza kuhangaika nayo kitambo since Diploma.
Note: Kama una ndoto za masuala ya ki afya hii route sishauri itumike.
Niite system hacker
Hakikisha F.4 unakung'uta Div 1 kali ajabu somewhere around point 7, 8, 9 na kuishia 14.
Then, nenda chuo anza a professional life; yaani anzia Diploma ya ndoto zako miaka miwili hapa.
Kikawaida, kukamulia Diploma huwa ni nyepesi sana ku score Grade nzuri (ceteris peribus) yaani First Class.
Then, endelea na Degree yako miaka 3 na kuendelea...kaamua pia ukiweza ila cha muhimu usikose upper second.
Hapo shule imeisha. Tunaenda mtaani kusaka ajira.
======
Tupo mtaani. Ajira zinatangazwa na Diploma....unaingiza Team gamba la Degree unaliweka mafichoni.
Shortlist inaanza.....trust me huwezi kukosekana. Why? Cheti chako cha F.4 ni kizuri mno kitakubeba. Ujue wengi wanaopenda kuunga unga vi certificate na vi diploma ni wale ambao F.4 walizingua hivyo ww unaibuka na kupitia katikati yao.....are you getting the logic?
Interview umeitwa.....unapiga interview kwa exposure za ki degree maana kimsingi ni kweli una degree. Trust me unashinda na unaajiriwa.....mbeleni huko unapenyeza gamba rasmi kuendana na utamaduni wa eneo lako la kazi...hii sio dhambi.
Nikusaidie kukumbusha....graduates mtaani ni 'saturated' tunaweza kusema hivyo ki kemia.
Part two......
Mtu aliyeanzia mazaga yake Diploma akiwa mzima kichwani ana nafasi nzuri zaidi ya kukamua jiwe (Degree) bila kutaabika sana.
Mtu aliyeanzia Dip pia ana uwezo mkubwa wa kuwa na exposure ya madude yake kwa kuwa alianza kuhangaika nayo kitambo since Diploma.
Note: Kama una ndoto za masuala ya ki afya hii route sishauri itumike.
Niite system hacker