sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,028
Wengi wanapeleka watoto advance kwa kukariri kwamba ndivyo ilivyozoeleka kwamba mtu akiwa na credit 3 basi anaenda form 5, wamekariri kwamba watu wanaoenda chuoni baada ya form 4 ni wale wenye division 4 tu kumbe kuna wenye division 1 zao, wamejiongeza na wapo huko vyuoni wakiwa wameanza kusomea mapema taaluma zao.
Kiufupi hata serikali huwa inatoa nafasi chache mno za kuhesabika kwenye kufadhili wahitimu wa form 4 kwenda kusoma chuo, yani wanakuwaga wachache sana, hao wengime wote wanaobaki humwagwa huko kwenye shule za form 5 za serikali na private mithiti ya lundo la utitiri, bado huoni thamani ya chuo hapa?
Kumbuka, kuanza kusomea chuo mapema ni kuanza kusomea taaluma yako mapema na ndio maana hata cheti chochote cha chuoni kinaweza kukupa ajira lakini cheti cha form 6 huwezi kupata ajira hata kama ni division 1.
Pia huko vyuoni mtu anaanza kujenga c.v yake mapema mno, mtu aliyeanza chuo baada ya form 4 na yule alieanza chuo baada ya form 6, c.v zao zitakuwa na utofauti, huyo alieanza chuo baada ya form 6 c.v yake itakuwa na cheti kimoja tu cha taaluma huku mwenzake anavyo vitatu, atakuwa kasoma chuo miaka mitatu tu huku mwenzake yupo chuo miaka 7, atakua kafanya mazoezi ya kazi kwa vitendo mara moja tu huku mwenzake kafanya mara tatu, n.k.
Kwenye swala la ajira, alieanza chuo baada ya form 6 ana sifa ya kuomba ajira za degee tu ila kwa yule alieanza chuo mapema huwa ana sifa ya kuomba ajira inayohitaji cerrificate, diploma na degree..wale walioenda chuo baada ya form 6 ambao wanakuaga ni wengi sana huwa wanabanwa wasiombe hizo ajira za diploma, tangazo la ajira likitoka linalohitaji diploma, waombaji wanaweza kuwa elf 10 ...tangazo la ajira za degree zikitoka hapo patakua na watu hao elf 10 niliowataja awali ukijumlisha na watu laki 2 walioingia degree baada ya form 6, kwa ufupi kote kumekaza lakini unaona kabisa wazi ni sehemu ipi ina wepesi na ipi ina ugumu.
Pia kwenye swala la uwepesi wa elimu, huyo anaeanza chuo akimaliza form 4, anavyofikia degree atakua anarudia rudia tu vitu vingi sana alibyosoma tayari huko nyuma. Kimbembe kinakuja kwa huyo wa form 6 karibi kila kitu ni kipya, inabidi atumie nguvu kubwa mno.
Kuhusu mikopo ya kwenda kusomea degree kwakweli ni bahati nasibu, unaweza kukosa au kupata ila hakuna ubaguzi, wote wanapata iwe ni yule alianza chuo baada ya form 4 au anaeanza baada ya form 6, Haki sawa!!
Kiufupi hata serikali huwa inatoa nafasi chache mno za kuhesabika kwenye kufadhili wahitimu wa form 4 kwenda kusoma chuo, yani wanakuwaga wachache sana, hao wengime wote wanaobaki humwagwa huko kwenye shule za form 5 za serikali na private mithiti ya lundo la utitiri, bado huoni thamani ya chuo hapa?
Kumbuka, kuanza kusomea chuo mapema ni kuanza kusomea taaluma yako mapema na ndio maana hata cheti chochote cha chuoni kinaweza kukupa ajira lakini cheti cha form 6 huwezi kupata ajira hata kama ni division 1.
Pia huko vyuoni mtu anaanza kujenga c.v yake mapema mno, mtu aliyeanza chuo baada ya form 4 na yule alieanza chuo baada ya form 6, c.v zao zitakuwa na utofauti, huyo alieanza chuo baada ya form 6 c.v yake itakuwa na cheti kimoja tu cha taaluma huku mwenzake anavyo vitatu, atakuwa kasoma chuo miaka mitatu tu huku mwenzake yupo chuo miaka 7, atakua kafanya mazoezi ya kazi kwa vitendo mara moja tu huku mwenzake kafanya mara tatu, n.k.
Kwenye swala la ajira, alieanza chuo baada ya form 6 ana sifa ya kuomba ajira za degee tu ila kwa yule alieanza chuo mapema huwa ana sifa ya kuomba ajira inayohitaji cerrificate, diploma na degree..wale walioenda chuo baada ya form 6 ambao wanakuaga ni wengi sana huwa wanabanwa wasiombe hizo ajira za diploma, tangazo la ajira likitoka linalohitaji diploma, waombaji wanaweza kuwa elf 10 ...tangazo la ajira za degree zikitoka hapo patakua na watu hao elf 10 niliowataja awali ukijumlisha na watu laki 2 walioingia degree baada ya form 6, kwa ufupi kote kumekaza lakini unaona kabisa wazi ni sehemu ipi ina wepesi na ipi ina ugumu.
Pia kwenye swala la uwepesi wa elimu, huyo anaeanza chuo akimaliza form 4, anavyofikia degree atakua anarudia rudia tu vitu vingi sana alibyosoma tayari huko nyuma. Kimbembe kinakuja kwa huyo wa form 6 karibi kila kitu ni kipya, inabidi atumie nguvu kubwa mno.
Kuhusu mikopo ya kwenda kusomea degree kwakweli ni bahati nasibu, unaweza kukosa au kupata ila hakuna ubaguzi, wote wanapata iwe ni yule alianza chuo baada ya form 4 au anaeanza baada ya form 6, Haki sawa!!