madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,453
- 2,848
Duh
Swaraj ziko poa sana tuNi sahihi mimi nilitoka huko kabla ya uzi huu. Yakanishinda nikachukua Case used 3,000 hrs kwa 39.5m pamoja na jembe. Mkuu ile Swaraj inakamua balaa
Kitu chochote used, saa ingine huwa unabahatisha kilicho bora au chenye magonjwa mazito yasiyo onekana kwa jicho la kawaida. Ubora wake inategemeana na previous owner jinsi alivyokua anatunzaHivi tractor used za msumbiji zinazouzwa songea pale samco na uyole pale mbeya hua zikoje?
Yapo aina gani boss mimi nishida na vifaa vya valmentMatrekta yapo mengi tu hapa Africa kusini.
Unachohitaji Fanya ni kuamua uje mwenyewe ununue na uondoke nalo au uagize ambapo muuzaji atalipwa ukipokea mzigo wako. Bei za matrekta zinaendana na ubora wa trekta.
Kwa maelezo yake alipataMkuu ulifanikiwa kupata tractor S.A?
Alipatia huko huko South auKwa maelezo yake alipata
Mie nataka kati ya Massey Fergusson, John Dere au New Holland ambayo ina front bucket loader, na HP iwe kuanzia 75 hadi 90.Massey Ferguson, Fiat, Valment, John Deere hizi zilikuwa ndio tractor imara
Hii inayoitwa CASE ndio nimeisikia leo, hakika kila siku tunajifunza kitu kipyaMassey Ferguson, Fiat, Valment, John Deere hizi zilikuwa ndio tractor imara
Mpigie video callKuna mkaburu nimepewa namba yake yupo huko Cape Town ila bado simuamini.
Na mfano wa tractor aliyonitumia ni hiyo.View attachment 2253322
Hapokei video call, anataka voice call tuu.Mpigie video call
Harufu ya utapeliHapokei video call, anataka voice call tuu.
Moja alipata SA na nyingine hapa bongoAlipatia huko huko South au
imeisha hio mzee.Hapokei video call, anataka voice call tuu.
Singida na Songea walishaachana na jembe la mkono kitambo, tofauti na mikoa ya kagera, kigoma, katavi, geita, ambako jembe limetawala japo ni wazalishaji wakubwa then faida utahopata hapo wewe nunua mbolea kipindi haihitajiki sana kwa bei nafuu then weka stock halafu kwenye high season utaiuza mara mbili yake hata uwe na tani elfu ngapi singida zitaisha, kwenye mavuno tafuta vimashine vya kuhamisika vya diesel au petrol vya kupukuchulia mahindi ukomae singida hapo hapo anzia sekenke, sheliu nenda kwa akina mwigulu makunda kule njoo vuruga maluga na Tumuli hadi iguguno huko utoboe misuna wanamaliza kuvuna umepata pesa ya kutosha kwenye kupukuchua mahindi kikubwa uwe na vijana walio faster unapanga tu leo kambi kijiji fulani kesho sehemu nyingine utajiona boya kuchelewa kwenda singida