trekta

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda 5 Best quiet spots in Queen Elizabeth National Park on a Uganda Safari Trip

    istockphoto-526727878-612x612.jpg Travel Company: Dav Safaris Website: www.davsafaris.com Email: info@davsafaris.com Tel: +256757795781 or +256701412430 Experience the 5 best quiet spots in Queen Elizabeth National Park on a Uganda Safari Trip, with Tranquil wildlife, Tranquil lakes, and...
  2. Sonship

    JamiiForums Tanzania Trekta Massey Ferguson 3080 Power linauzwa Iringa Mjini

    MASSEY FERGUSON 3080 POWER Trekta imara, yenye nguvu na yenye uwezo mkubwa kwa shughuli zote za kilimo. Specifications: ✅ Engine: Perkins Diesel 6 Cylinder ✅ Power: 95.7HP / 71.4kW ✅ Fuel Tank: 189 Litres ✅ Liquid Cooled Engine ✅ Performance kubwa na matumizi mazuri ya mafuta ✅ Trekta ni...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Wakulima Brussels wafanya maandamano kwa Matrekta, EU yaahirisha makubaliano

    Mamia ya wakulima wa Ulaya walijaa mitaa ya Brussels wakipinga makubaliano ya kibiashara ya EU-Mercosur trade . Maandamano yaliyoanza kwa utulivu yaligeuka vurugu, waandamanaji walishambulia Polisi kwa mawe, viazi, na kufanya maandamano ya trekta. Polisi walitumia mabomu ya machozi, maji na...
  4. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania Watu wapata ajali ya Trekta wakiwa wanaenda kwenye kampeni za CCM

    Ivi una jua kuna watanzania wanazingua sana unakubalije kupanda TREKTA halafu wenzako wamepanda V8 na viyoyozi ndani wewe na vumbi lako kwenye TREKTA na ka Tsh. 10000 uliyoahidiwa hii ni mbaya JF tusambaze elimu kwa watanzania ambao bado wamelala. ====== CCM mnabeba watu kwenye matrekta kama...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Samia aahidi trekta 10,000 karibu kila kijiji trekta moja

    === Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameahidi trekta 100 sawa na trekta moja kwa kila kijiji nchini ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu. Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, mgombea huyo alisema ahadi hiyo inalenga kuinua kilimo kwa kuongeza tija...
  6. Busu la Kenge

    JamiiForums Tanzania Wapi nitapata trekta Right hand drive

    Msaada wakuu wapi nitapata trekta right hand drive? Yoyote anafaham anicheck PM inbox. Natanguliza shukran zangu za dhati kabisa. adriz
  7. P

    JamiiForums Tanzania NANENANE: Jumla ya Trekta 500, Power Tiller 800, Magari 44, pikipiki 6,444, Vishikwambi 5,426 na vipima udongo 143 vimenunuliwa ndani ya miaka 4

    ||| Rais Samia amenunua vitendea kazi kwa ajili ya sekta ya kilimo magari 44, pikipiki 6,444, vishikwambi 5,426, na vipima afya ya udongo 143, Trekta 500, Power Tiller 800 ndani ya miaka minne. Tumenunua na kusambaza vitendea kazi kwa ajili ya kuboresha huduma za ugani na kuimarisha uzalishaji...
  8. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Abdallah Kirungu: Kununua trekta na kuchonga barabara sio kazi za Mbunge

    Mtia nia wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Ulanga Mkoa wa Morogoro Abdallah Kirungu kupitia Chama cha Mapinduzi amewataka Wananchi kutokubali kudanganyika kwa pesa za mtu bali wamchague Kiongozi mwenye maono na uwezo wa kuwasaidia Wananchi wa Ulanga. Kirungu ni mmoja kati ya watia nia sita...
  9. Dickson Edwin Mgaya

    JamiiForums Tanzania Jipatie Trekta za TAFE Kutoka kiwanda cha Massey Ferguson cha India (47-100 HP) kwa bei ya Punguzo

    Trekta za TAFE zimejizolea umaarufu kutokana na uimara wake, pamoja na uwezo wa kuhimili mazingira halisi ya kitanzania. Karibu ujipatie Trekta yako leo kutoka kampuni ya MeTL Agro, wasambazaji walioidhinishwa wa Trekta za TAFE pamoja na vipuri vyake. Model zinazopatikana ni pamoja na: 1. 47...
  10. Right Marker

    JamiiForums Tanzania Je, ulishawahi kukutana na Trekta, Guta, au mikokoteni ya ng'ombe na punda inayohatarisha usalama wa barabarani?

    FUNGUKA! Huenda safari zako nyingi ni za usiku. 1. Je, uliwahi kukutana na Trekta, Guta, au mikokoteni ya ng'ombe na punda ambayo inahatarisha usalama wa barabarani? 2. Taja wilaya/mkoa, au eneo lolote lenye changamoto ya wingi wa matrekta, guta, au mikokoteni ya ng'ombe na punda ambayo...
  11. N

    JamiiForums Tanzania Umechoka kukoroma kama trekta bovu usiku? 🚜. Fanya Hivi

    "Umechoka kukoroma kama trekta bovu usiku? 🚜, Rudi kwenye chakula chepesi cha asili jioni! Supu ya mboga au samaki ni 'silent mode' kwa mwili wako, inakupa usingizi mtamu kuliko 'lullaby' ya mama! 😴🐟🇹🇿" #Afya Yako Jukumu Lako.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Mwenye trekta za kukodisha maeneo ya Dodoma , Iringa, Lindi, Pwani, Dar na Tanga tuwasiliane

    Kama uko maeneo hayo na una trekta lenye angalau HP 100 tuwasoliane kwa whatsapp 0656388678. Asanteni na heri ya mwaka mpya 2025.
  13. Trekta Bora

    JamiiForums Tanzania Trekta ya aina gani ni bora kwa mazingira ya Tanzania?

    Ndugu mwana JF! Kwa wenye uzoefu na matrekta, unahisi trekta gani limeonesha usanifu shambani(ulaji mzuri wa mafuta>upatikanaji wa vipuli>kudumu kwa chombo husika) katika ardhi ya Tanzania!?
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Agricom yaikabidhi Serikali Trekta 500, Power Tillers 800 na vifaa vingine vya Kilimo

    Kampuni ya Kitanzania ya Agricom imekabidhi vifaa na zana mbalimbali za kisasa za kilimo kwa serikali kupitia Wizara ya Kilimo, wakati wa maonyesho ya Nane Nane yaliyofanyika Dodoma leo. Hafla hiyo imehudhuriwa na Rais wa Tanzania, Mheshimiwa Dokta Samia Suluhu Hassan, ambaye alishuhudia...
  15. Trekta Bora

    JamiiForums Tanzania Trekta aina ya Mahindra

    Habari wana JF, karibuni mjipatie zana bora za kilimo ; trekta aina ya mahindra ni trekta bora yenye usanifu mkubwa katika nchi yetu ya tanzania. Karibuni kwa maswali na maelekezo juu ya namna ya upatikanaji wa trekta. Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0717217520
  16. snochet

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Massey Ferguson 135 na Massey Ferguson 158 Zinauzwa

    Habari, Ninauza hizi tractor mbili. Zote ni 2WD. Mtumba kutoka Uholanzi bila jembe/trailer. MF135-46Horsepower MF158-63 Horsepower Zimesajiliwa na kila kitu kinafanya kazi vizuri kabisa(Engine za Mbuni-Diff Kubwa, PTO, drawbar na zina connection za hydraulics). Hazijatumika Tanzania. Bei MF135...
  17. Chivundu

    JamiiForums Tanzania Kuna wimbi kubwa la wamiliki wa Trekta hizi Hybrid kuziuza miezi michache baada ya kuzitumia au kuzikopa

    Tuambiane ukweli, kwanini watu wengi wanaziuza Trekta hizi za kisasa, Mahindra, Swalaj, Tafe, New Holland TT75, miezi michache baada ya kuzitumia? Zamani mtu akinunua trekta tegemea umuone nayo miaka kibao.
  18. bongo dili

    JamiiForums Tanzania Hivi ukikopa trekta unaweza toboa?

    Wazo la kukopa trekta HP 50 kulima mashamba yako kukodisha Mara chache ili upate mafuta.Kulima heka 600 yaani eka 20 kwa siku. Mazao ni yale yasiyo na changamoto nyingi mfano kunde, karanga,mtama,mihogo,viazi vitamu,mbaazi,njugu. mategemeo ni gunia 1000 kwa msimu mmoja wa zao moja wapo. HP 50...
  19. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Hii trekta millioni 46 tu

    Hii chombo bei yake ni Millioni 46 tu. Kama unahitaji, jichange piga hii simu haraka 0747744895.
  20. bon NIC

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kukodi trekta na kwa bei gani? Nikiwa Dar

    Wadau za mida Naomba msaada kujua bei ya kukodi trekta kwa Dar Es Salaam na pia kama kuna yeyote mwenye mawasiliano ya wapi naweza kulipata untaarifu kwa 0678 151 275
Back
Top Bottom