sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
kisingizio cha wazazi hawa huwa “Sitaki mtoto wangu apitie Maisha magumu niliyopitia”, ni kweli huenda mzazi ulikuwa unanyanyaswa utotoni kwa kufanyishwa shughuli zaidi ya uwezo wako lakini sio sababu ya kumnyima mtoto wake shughuli za kufanya.
Mzazi unaweza kuweka elimu iwe kipaumbele kwa mtoto wako lakini bado sio sababu , matokeo yake mtoto anaweza kuwa msomi aliyeajiriwa sehemu nzuri ama ana biashara zake lakini kwasababu hukumzoesha kazi za nyumbani unakuta huko chumbani kwake Pamoja na utu uzima wake hatandiki kitanda, vyombo vipo chini ya kitanda, chumba chake kipo rafu, n.k. jamii nayo inamuona mtu wa ajabu maana hata hajali hata mazingira ya nyumba yake, Wewe mzazi ndie umetengeneza hili bomu kwa kulea watoto kijunia juniour.
hujamzoeesha mtoto kazi za nyumbani ila kuna kioindi ataenda chuoni ama boarding umri ushaenda ni ngumu kuzoea kazi hizi, Ni nani atapenda kukaa na mwanao mzembe wa kufanya shughuli zake ?
Kufanya shughuli hizi kunawaandaa mapema Watoto kujiandaa kisaikolojia kwamba kazi ndio tegemeo kubwa kwa watu wengi kuishi hapa duniani (asie fanya kazi na asile), kuanzia chakula wanachokula, mavazi wanayovaa, sehemu ya kuishi, elimu, n.k hivyo vitu vyote vina gharama yake sio bure, kwa mchango wao mdogo wa shughuli za nyumbaniwanapata akili kwamba angalau wanachangia kitu ili wale, hii huwa inasaidia sana kuondoa jinamizi la uvivu, kazi kazi!!
Kazi hizi zinasaidia pia watoto kuweza kuishi sehemu mbali mbali, hata sisi iwe mimi au wewe tunapenda Watoto wa ndugu zetu wakija hata kutusalimia wawe bize asubuhi wanafanya usafi wa nyumba, kama una gari anakuoshea, awe smart hata majirani wajue nyumba flani ina watu smart, mazingira yawe safi, n.k. sio mtu anakuja kwako hata chumba tu kusafisha ni ishu.
Mtoto anapofika miaka hata mitatu muanzisha vikazi vidogo vidogo chini ya uangalizi, hadi anafika miaka 12 awe ameshazoea kufanya hizo kazi hata bila ya kuambiwa.
Mzazi unaweza kuweka elimu iwe kipaumbele kwa mtoto wako lakini bado sio sababu , matokeo yake mtoto anaweza kuwa msomi aliyeajiriwa sehemu nzuri ama ana biashara zake lakini kwasababu hukumzoesha kazi za nyumbani unakuta huko chumbani kwake Pamoja na utu uzima wake hatandiki kitanda, vyombo vipo chini ya kitanda, chumba chake kipo rafu, n.k. jamii nayo inamuona mtu wa ajabu maana hata hajali hata mazingira ya nyumba yake, Wewe mzazi ndie umetengeneza hili bomu kwa kulea watoto kijunia juniour.
hujamzoeesha mtoto kazi za nyumbani ila kuna kioindi ataenda chuoni ama boarding umri ushaenda ni ngumu kuzoea kazi hizi, Ni nani atapenda kukaa na mwanao mzembe wa kufanya shughuli zake ?
Kufanya shughuli hizi kunawaandaa mapema Watoto kujiandaa kisaikolojia kwamba kazi ndio tegemeo kubwa kwa watu wengi kuishi hapa duniani (asie fanya kazi na asile), kuanzia chakula wanachokula, mavazi wanayovaa, sehemu ya kuishi, elimu, n.k hivyo vitu vyote vina gharama yake sio bure, kwa mchango wao mdogo wa shughuli za nyumbaniwanapata akili kwamba angalau wanachangia kitu ili wale, hii huwa inasaidia sana kuondoa jinamizi la uvivu, kazi kazi!!
Kazi hizi zinasaidia pia watoto kuweza kuishi sehemu mbali mbali, hata sisi iwe mimi au wewe tunapenda Watoto wa ndugu zetu wakija hata kutusalimia wawe bize asubuhi wanafanya usafi wa nyumba, kama una gari anakuoshea, awe smart hata majirani wajue nyumba flani ina watu smart, mazingira yawe safi, n.k. sio mtu anakuja kwako hata chumba tu kusafisha ni ishu.
Mtoto anapofika miaka hata mitatu muanzisha vikazi vidogo vidogo chini ya uangalizi, hadi anafika miaka 12 awe ameshazoea kufanya hizo kazi hata bila ya kuambiwa.