barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Duh!Yeah hapo kabla nikikuwa na uwezo wa kukaa mchana bila kula au hata usiku kama kwa maamuzi yangu ila sasa siwezi kukaa bila kula mkuu
Nakupa hongera sana kwa ujasiri wa kujikubali, naamini kuna siku za hivi karibuni dawa itapayikana na watu kama wewe ndio inatakiwa wawe husband material, huu ni mtihani mgumu sana kisaikolojia ila unaonekana kuumudu.